Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 732
- 475
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amezawadiwa kofia ikiwa ni ishara ya upendo na Ndugu. Suleiman Mtumwa Vuai ambaye ni Mwenyekiti wa Wazee Mkoa wa Kusini Unguja.
Ujumbe huo wa Wazee ulimtembelea Ikulu Zanzibar na kumpongeza kuchaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti CCM Zanzibar.View attachment 2501720View attachment 2501721
Ujumbe huo wa Wazee ulimtembelea Ikulu Zanzibar na kumpongeza kuchaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti CCM Zanzibar.View attachment 2501720View attachment 2501721