CCM yashiriki kusambaza tabasamu kwa watoto wenye saratani nchini

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
May 16, 2020
1,895
940
CCM YASHIRIKI KUSAMBAZA TABASAM KWA WATOTO WENYE SARATANI NCHINI


Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndg. Daniel Godfrey Chongolo leo tarehe 15 Agosti, 2021 ameshiriki matembezi ya Km 5 yalioandaliwa na Benki ya CRDB yenye lengo la kukusanya fedha kwa ajili ya kugharamia matibabu kwa watoto wenye Saratani na utunzaji wa mazingira nchini.

Matembezi hayo yameanzia katika viwanja vya Green Park Osterbay ambapo Mgeni Rasmi ni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa.

CCM imeshiriki kusambaza tabasam kwa watoto wenye Saratani, CCM imeshiriki utunzaji wa Mazingira

Imeandaliwa na;

Said Said Nguya
Afisa Habari
Ofisi ya Katibu Mkuu
CHAMA CHA MAPINDUZI

IMG-20210815-WA0013.jpg


IMG-20210815-WA0018.jpg


IMG-20210815-WA0017.jpg


IMG-20210815-WA0011.jpg
 
CCM YASHIRIKI KUSAMBAZA TABASAM KWA WATOTO WENYE SARATANI NCHINI


Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndg. Daniel Godfrey Chongolo leo tarehe 15 Agosti, 2021 ameshiriki matembezi ya Km 5 yalioandaliwa na Benki ya CRDB yenye lengo la kukusanya fedha kwa ajili ya kugharamia matibabu kwa watoto wenye Saratani na utunzaji wa mazingira nchini.

Matembezi hayo yameanzia katika viwanja vya Green Park Osterbay ambapo Mgeni Rasmi ni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa.

CCM imeshiriki kusambaza tabasam kwa watoto wenye Saratani, CCM imeshiriki utunzaji wa Mazingira

Imeandaliwa na;

Said Said Nguya
Afisa Habari
Ofisi ya Katibu Mkuu
CHAMA CHA MAPINDUZI

View attachment 1893107

View attachment 1893108

View attachment 1893109

View attachment 1893110
Naona Pm anaanza kupiga jalamba,anaanda mitandao taratibu
 
CCM YASHIRIKI KUSAMBAZA TABASAM KWA WATOTO WENYE SARATANI NCHINI

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndg. Daniel Godfrey Chongolo leo tarehe 15 Agosti, 2021 ameshiriki matembezi ya Km 5 yalioandaliwa na Benki ya CRDB yenye lengo la kukusanya fedha kwa ajili ya kugharamia matibabu kwa watoto wenye Saratani na utunzaji wa mazingira nchini.

Matembezi hayo yameanzia katika viwanja vya Green Park Osterbay ambapo Mgeni Rasmi ni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa.

CCM imeshiriki kusambaza tabasam kwa watoto wenye Saratani, CCM imeshiriki utunzaji wa Mazingira

Imeandaliwa na;

Said Said Nguya
Afisa Habari
Ofisi ya Katibu Mkuu
CHAMA CHA MAPINDUZI

IMG-20210815-WA0009.jpg


IMG-20210815-WA0010.jpg
 
... matapeli wakubwa! Hizo tozo matumizi yake ni yapi? CRDB imeamua rasmi kujihusisha na siasa za vyama?
 
CCM ni chama Cha watanzania wote,asiye itaka afe tu

USSR
Jengeni uchumi wa nchi ili kila familia iwe na uwezo wa kuhudumia mwanafamilia mwenye changamoto ya afya, siyo kutumia maskini kujijenga kisiasa. Huu ni upumbavu! Nyie mbona mkipata kasaratani kadogo mnaenda kukata vidole India?! Tena kwa kodi zetu. Kwanini CCM isiwatembelee ocean road kuwaletea matumaini?!
 
CCM yenyewe ni Saratani kwa Tanzania inawezaje kusambaza Tabasamu.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Jengeni uchumi wa nchi ili kila familia iwe na uwezo wa kuhudumia mwanafamilia mwenye changamoto ya afya, siyo kutumia maskini kujijenga kisiasa. Huu ni upumbavu! Nyie mbona mkipata kasaratani kadogo mnaenda kukata vidole India?! Tena kwa kodi zetu. Kwanini CCM isiwatembelee ocean road kuwaletea matumaini?!
Unaijua TASAF

USSR
 
Serikali in vyanzo vingi vya fedha kupitia kodi, tozo na maduhuli mbalimbali. Je! Ni kweli inashindwa kutenga bajeti ya kutosha kwenye hosptali zenye wagonjwa wenye changamoto kubwa za kiafya na hata kupelekea KM wa chama tawala kutembeza bakuli kwa walipa kodi wake!?
 
Back
Top Bottom