bennymas
Member
- Apr 10, 2013
- 68
- 30
Mbunge wa Temeke mh, Abasi Mtemvu na diwani mh. Zena Mgaya jana walipata aibu kubwa katika kata ya Tandika baada ya kuhutubia watu kumi katika viwanja vya Mbonde yangu macho.
Mtevu amewadanganya wananchi wa Temeke kwamba Temeke kuna barabara nzuri kuliko Masaki na mwisho kaishia kuwatuhumu CHADEMA kwamba wanawadanganya watu wa Temeke kwamba CCM aifai.
.
Mtevu amewadanganya wananchi wa Temeke kwamba Temeke kuna barabara nzuri kuliko Masaki na mwisho kaishia kuwatuhumu CHADEMA kwamba wanawadanganya watu wa Temeke kwamba CCM aifai.
.