Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 57,215
- 128,978
mambo hayo,hii inaonyesha wapinzani hawajulikani vijijini!
b. Naibu waziri mmoja (Mwantuma Mahiza) na diwani wadaiwa kukutwa na shahada ambazo hazijatumika na haieleweki kwanini amekutwa nazo. Chanzo kingine kinasema ni karatasi zilizokwishapigiwa kura ingawa chanzo cha awali is more authoritative (non-partisan).
Ka nzi ka kijiji kametua Busanda tangu jana, na taarifa za matokeo ya uchaguzi zimeanza kutiririka sasa hivi. Kura zimemalizwa karibu masaa matatu yaliyopita.
a. Chadema kama ilivyotabiriwa inaelekea kuchukua ushindi eneo la Katoro (mjini) kwa ushindi wa tsunami. Hata hivyo ngoma yote inaonekana kuwa iko kijijini. Utabiri wangu wa Chadema kushinda jimbo zima kati ya asilimia 50-55 bado unasimama.
b. Naibu waziri mmoja (Mwantuma Mahiza) na diwani wadaiwa kukutwa na shahada ambazo hazijatumika na haieleweki kwanini amekutwa nazo. Chanzo kingine kinasema ni karatasi zilizokwishapigiwa kura ingawa chanzo cha awali is more authoritative (non-partisan).
will keep u updated every half hour..
What a shame, sasa waziri na wizi wa kura jama?
MM vipi kanadelay kiasi hicho?
Kazi ipo leo kwa wasomaji, Ka-inzi vs Pasco...
Yote heri, maadam CCM inaibuka mshindi, kama ilivyowashangaza CUF kule Magogoni.
Kazi ipo leo kwa wasomaji, Ka-inzi vs Pasco...
Yote heri, maadam CCM inaibuka mshindi, kama ilivyowashangaza CUF kule Magogoni.