FairPlayer
JF-Expert Member
- Feb 27, 2006
- 4,145
- 716
Damu ni nyekundu Sir, ila CCM sio perfect mkuu, hilo nakubaliana nalo!
Mzee, Mimi binafsi ninakubali kukosolewa kwa CCM. Na penye raha huwa pia nasherehekea!
Kumbukeni ninatazama pande zote za shilingi!
FD sijasema kukosolewa... nimesema kama wanafurahia ushindi wa Richard kuwa ni ushindi wa "malezi bora ya CCM" naamini wakati umefika tukubali makosa na mapungufu ya watu wetu kuwa ni makosa ya CCM! Kumkosoa mtu ambaye hakubali makosa ni kupoteza muda na ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa...
Rais Kikwete, amepokea salaam nzito toka kwa marais wa karibu nchi zote za Afrika Mashariki na ya kati kwa kutokana na ushindi wa m-Tanzania, Richie, kwenye maisha kuna wakati wa kila kitu,
Wakati wakulia na kucheka, wakati wa mvua na summer, kupanda na kuvuna, sasa hivi ni wakati wakusherehekea ushindi wa m-Tanzania mwenzetu aliyekwenda na kuiwakilisha bendera yetu kijasiri na kulitangaza taifa zima letu la Tanzania,
Respect kwa Richie!
Nchi hii inaongozwa na CCM, ushindi wa mtanzania yeyote ni WETU.
CCM hoyeee kwa malezi bora!
duh!Haya sasa,ina maana hta wale waliokua wanamponda Rich kwa uzinzi pia hili nalo walitupie macho kwani kama Rich alipata huo ushindi kwa Uzinzi it means CCM ndio zaidi kwa kujifunga kibwebwe kumshangilia.Wabongo tuacheni unafiki na unazi.
Mbona hawa watu wanajua kudandia kila kitu? Kwa hiyo hata mamiss wote waliofail miss world ni sera mbovu za CCM,taifa stars sina hakika kama bado wanbatambulika kama JK boys au la,na njaa inayowakabili wahadzabe pia ni matokeo ya sera za CCM au sio?
Umaskini wetu uliokithiri unatokana sera za wapinzani au? Chama kilichoongoza kwa miaka 45 huku tukipigwa bao kiuchumi hata na nchi zilizokua kwenye vita kama Rwanda,Burund na Uganda iliyoporomoshwa kiuchumi na utawala wa Dikteta asiyekua na elimu Idd Amini leo hii wanatupita kiuchumi si aibu tupu na kinyaa ?
Kama tunaweza kukubaliana kwenye hayo mambo hapo juu basi dhamira ya CCM kumpongeza Rich ni ya kweli
Rich hongera kwa kuipeperusha bendera ya Tanzania bora uinvest hizo hela utoe ajira kwa vijana wetu umaskini huu upungue.Hao vilaza waaache kujigamba sasa wajafdili mambo ya msingi.Sasa wasiache kuijadili Richmond leo,waanze kufikiria kukupokea na kukuita bungeni.
Itakua tusi kwetu sisi wananchi
ni shidaaduh!