CCM Yamchefua H. Polepole

CCM Yamchefua H. Polepole

Kilochonisikitisha mie na wenzangu chadema asilia ni kuona wenzetu wakipokea makapi...

Yani bahati mbaya leo Lowassa tulosema ni mtu sahihi wa kuong'oa CCM tumeishaona hatoshi ila Wema ndo mtu sahihi sasahivi wa kuiondoa CCM.

Tutaacha lini kuamini kuwa ili tuitoe CCM lazima tusajili wachezaji wabwia unga na bangi kutoka CCM?

2020 hatuna chetu.
 
Wazee wa zaman walisema " funika kombe mwana haramu apite" vijana wa leo wanasema "funua kombe mwana haramu asipite" sasa banda liko wazi wacha njiwa warukeruke watakavyo
 
Ningekuwa polepole nisingekubali teuzi za jpm kutokana na msimamo wake juu ya serikali tatu,msimamo ambao ni kinyume kabisa na itikadi ya ccm na jpm mwenyrwe lakini kitu pesa ni noma
 
CCM ya sasa sio hile ya jk so ivo v2 lazma vitokee tu na uelewa wa watanguliz wake sio sawa na huu...,mzee kinana kafungwa mdomo
 
Maccm yanazidi kuputika tu kwanzia ndani ya chamaa.
 
H
Mgawanyiko Na Mtifuano Uliomo Ndani Ya Ccm Kwa Sasa Unamuweka Njiapanda Ndg H Polepole. Anajikuta Mpweke Ndani Ya Ccm.

Ccm Kwa Sasa Iko Vipande 3: Ccm Maslahi, Ccm Asilia Na Ccm Mpya (magufuli).

Ccm Asilia Hawamtaki Polepole Kwa Msimamo Wake Aliyo Utoa Hadharani Kuamini Ktk Muungano Wa Serikali 3.

Ccm Maslahi Ni Wengi Sana Hawa. Ni Wale Waliokuwa Ktk Kambi Za Wagombea Urais Ndani Ya Ccm Mwaka 2015. Hawa Wanamuona H Polepole Kuwa Si Msemaji Wao, Bali Ni Msemaji Wa Magufuli. Lkn Pia Zoezi Linaloendelea Ndani Ya Ccm La Kuwafutia Uanachama Wanaccm Maslahi (wasaliti) Haliwapi Raha Kabisa.

Anapo Ibuka Kuisemea Ccm, H. Polepole Anaangaliwa Kama Asiyejua Anachokisema. Ndiyo Maana Kaamua Kuufunga Mdomo Na Kuwa Mtazamaji Tu.

Si Mnakumbuka Mange Alipochoma Kadi Yake Polepole Alitoa Kauli. Kwenye Sakata La Ngada Umemsikia? Kwenye Sakata La Msukuma, Bunge Na Wema Umemsikia?
Hahahaha!!! Inawezekana usemacho ndg ndicho' Polepole anataka kukipeleka chama kulingana na muono wake' wakt cha hicho kinawenyewe ' wahafidhina wanaotaka kumthibiti kila kiongozi chamani mwao' lkn hii ndio maana ya " ufalme ulio fitnika nafsi yake" huwezi kusimama' mshahara wa dhambi mauti. Hakuna wa kukwepa.
 
Back
Top Bottom