CCM Yakwama kuzindua Kampeni Kalenga leo

CCM Yakwama kuzindua Kampeni Kalenga leo

Godfrey anajua vizuri sana Kiswahili tena fasaha! Hayo ni maneno ya mfa maji!

Subirini kimbunga chenu mtakimbia humu JF yangu macho!
 
Kwa ujumla kama kunakosa ambalo wanakalenga watafanya ni kumchagua huyu kijana kwa jina la CCM, Kijana mwenye anaishi nje ya nchi na hata matatizo ya wanaKalenga hayafahamu vizuri. Hawa CCM wanamatatizo sana najua wanajiandaa kuiba kula kwa vile hiyo ndiyo njia pekee kwao

Acheni hadithi za Kufikirika , Mnaishusha hadhi hii Forumn na hiyo Kazi ya Benki aliokuwa anafanya alikuwa anafanyia toka Nje ya Nchi ?
 
Katika hali ya kushangaza chama cha CCM kimeshindwa kuzindua kampeni zake katika jimbo la Kalenga leo kama walivyotangaza awali.

Badala yake wamesema uzinduzi utafanyika siku nyingine itakayotangazwa.

Inadaiwa mbali na sababu nyingine mojawapo ni kutokana na mgombea wake kutokukubalika jimboni humo.Mgombea huyo wa CCM Godfrey Mgimwa alikuwa akiishi Uingereza na ameoa mke wake Mzungu raia wa huko huko.Pia wananchi wa Kalenga wanadai walimfahamu siku ya mazishi ya baba yake.

Inawezekana pia Ahirisho hilo linatokana na Katibu Mkuu wa Chadema Dr Wilbroad Slaa kuzindua kwa kishindo kikubwa kampeni za chama chake hapo jana Jumamosi huku akisindikizwa na Chief wa Kabila la Wahehe Abdu Sapi Mkwawa



Hhahahahahahahaha Mbavu zangu ! Mke wa Mgimwa kageuka Mzungu ! Hahahahahahahahah!
 
Chief alikuwa mkwawa tu. Siku hz machief hawana hadhi. Hata wajumbe wa nyumba kumi wapo juu ya machief. Sasa huyo saplimentary wenu mm namjua kwenye U.E tu. Lol. Kapandishwa chopa au
 
mods hamuwezi kuwa makini hata dk chache mkaondoa uzi huu wa upotoshaji mkubwa ambao unavunja haki ya jf kuwa chombo cha uhakika.ccm tumesha zindua kampein na vyombo vyote vya habar tz vimetangaza.kuwen makini na uzush huu.cc.paw.invicible
 
Wameanza kuhemea tumboni......na lzm na chichiemu yapasuliwe mafisadi makubwa hayo
 
mods hamuwezi kuwa makini hata dk chache mkaondoa uzi huu wa upotoshaji mkubwa ambao unavunja haki ya jf kuwa chombo cha uhakika.ccm tumesha zindua kampein na vyombo vyote vya habar tz vimetangaza.kuwen makini na uzush huu.cc.paw.invicible

Kweli wewe ni Mjinga.Eti CCM imeshazindua kampeni.
 
Wivu tu wa kike ati dogo nyie mmemsimamisha nani ajuza? Sasa subirini cha moto mtakachokipata na asiwepo mtu wa kutoa matusi maana mtaanza kuwatukana wana Kalenga baada ya matokeo!

Asikimbie mtu yeyote hapa hadi siku ya matokeo ili tujuwe dogo na ajuza nani zaidi!

wa kike ni aliyetoboa maskio. Habari ya porini.
 
Kumbe huyu bwana hata Kiswahili hajui,naambiwa atapiga kampeni na mkarimani
 
Godfrey ni kijana
mdogo msomi kabisa! Nashangaaa ati dogo sasa tukimsimamisha Mzee ati
wazee basi subirini dogo atakavyo mtandika ajuza wenu a.k.a Nkombi!

CCM ni moto wa kuotea mbali sana!

ukitaka kuamini kwa nini katoboa sikia mpe mgongo uone kama atakudhuru
 
Hahahaa wahehe waajanja sana nodays wanajua kbsa huyu mwngereza akiwa mbunge wao ataleta mambo ya kulipia line ya simu sh1000 kila mwezi kama baba yake R.i.p wazir wa 1000 kila mwez.. mgimwa
 
Ni upuuzi kuamini kwamba Mgimwa hajui kiswahili,hajui kihehe mara ooh! kaoa mzungu hata aoe mhindi tatizo lipo wapi? Watu wa Kalenga wanajua wanachofanya na hawatadanganyika na walaghai humu ktk jf mnajua sana kuchonga ila ninachowapendea mkipigwa mnakua wadogo kama piriton. Hapo mtaanza kuzungumzia daftari la wapiga kura japo sasa mnapeana matumaini ya uongo na kweli nyinyi mshazoea kipigo na Kalenga kama kawa tena mkakope pesa mpeleke tena chopa zenu 3 kule walau mpate hata robo ya kura!
 
Ni aibu kubwa sana kwa chama kikubwa kama chadema kujikita kwenye kampeni za uwongo.

Huyo mke mzungu mlimwoza nyie? Mzaliwa wa Iringa na kusomea Iringa asijue Kiswahili?

Acheni propaganda zenu za kishamba hizo. Inaelekea mmeshindwa tayari na mnaona njia pekee ni kuendesha kampeni za uwongo.

Tunataka vyama vyote vijikite kwenye sera na sio uwongo au matusi.
 
Godfrey anajua vizuri sana Kiswahili tena fasaha! Hayo ni maneno ya mfa maji!

Subirini kimbunga chenu mtakimbia humu JF yangu macho!
Wewe una hangaika sana kwenye uzi huu,tena peke yako.Sasa aliyesema mkodi mhamiaji wa uingereza nani?Maneno yako hayohayo eti mtaona.Tutaonaje kwa mvaa heleni?
 
Nyi mnasubiri kuiba kura,nilisha sema humu ccm hawaoni hata maana ya kampeni,wanajivunia kuiba tu.lakini mwizi sikuzake arobaini
 
Back
Top Bottom