CCM Yakwama kuzindua Kampeni Kalenga leo

CCM Yakwama kuzindua Kampeni Kalenga leo

Musa Tesha atakuwa hajawasiri Kalenga au watakuwa bize kumtafuta mrithi wake.
 
Unaweza kutueleza
1.Chanzo cha kifo cha Dr.Mgimwa?
2.Kwa nini maccm yalimuuta ni "waziri Mzigo"?

chanzo cha kifo ni siri ya familia na madaktar,kuitwa mzigo ni mambo ya siasa tu.
 
molemo,mbona taarifa haina chanzo wala haijakamilika kuweza kukaa kwenye hili jukwaa letu pendwa au zile pesa ulizokula za m4c bado zinakutia uchizi kula fedha za walala hoi maskin wa nchi hii hutakaa salama.

cha kufurahisha ni kwamba vijana wa kalenga WAMEJITAMBUA NA WAMEAPA KWAMBA , this term HAWATADANGANYIKA NA ULANZI !
 
Katika hali ya kushangaza chama cha CCM kimeshindwa kuzindua kampeni zake katika jimbo la Kalenga leo kama walivyotangaza awali.

Badala yake wamesema uzinduzi utafanyika siku nyingine.

Inadaiwa mbali na sababu nyingine mojawapo ni kutokana na mgombea wake kutokukubalika jimboni humo.
Dogo rudi zako Ulaya naona hawa wana kuzingua,kagombee huko huko,mbona unaruhusiwa tumeliona jina lako
 
Tatizo ni huyo mtoto anayegombea hajui kiswahili. Nadhani bado anamalizia kozi bakita!

Na Kiswahili kwake kitakuwa shida sana kwa sababu mkewe ni raia wa UK asiyejua hata kutamka A kwa Kiswahili.
 
Gongo na kitu cha A.Town, plus viroba, unaweza kutamani hata kuoga maji ya mvua pale posta mpya.

huku kwetu KUVAA TU ILE MIGUO YA KIJANI NI AIBU MNO , VIONGOZI WA CCM HUVALIA HIYO MIGUO KWENYE VYOO VYA KUMBI WANAZOFANYIA MIKUTANO ! NA HUZIVUA MARA TU BAADA YA KUMALIZA VIKAO !
 
Kwa ujumla kama kunakosa ambalo wanakalenga watafanya ni kumchagua huyu kijana kwa jina la CCM, Kijana mwenye anaishi nje ya nchi na hata matatizo ya wanaKalenga hayafahamu vizuri. Hawa CCM wanamatatizo sana najua wanajiandaa kuiba kula kwa vile hiyo ndiyo njia pekee kwao.
 
Tatizo ni huyo mtoto anayegombea hajui kiswahili. Nadhani bado anamalizia kozi bakita!
maskini huyo mgimwa,hata kiswahili kinamfua.Nahapo inatakiwa na kihehe.kwahiyo tution zinatakiwa zote mbili ziende sambamba.
 
molemo,mbona taarifa haina chanzo wala haijakamilika kuweza kukaa kwenye hili jukwaa letu pendwa au zile pesa ulizokula za m4c bado zinakutia uchizi kula fedha za walala hoi maskin wa nchi hii hutakaa salama.

Chanzo ni Katibu wa CCM mkoa wa Iringa.Vipi umeamini sasa?
 
Huyo Godfrey karudi sababu ya Uchaguzi tu Baba yake angekuwa hajafa angekuwa bado Ulaya. Ni aibu kumchagua
 
Kwa ujumla kama kunakosa ambalo wanakalenga watafanya ni kumchagua huyu kijana kwa jina la CCM, Kijana mwenye anaishi nje ya nchi na hata matatizo ya wanaKalenga hayafahamu vizuri. Hawa CCM wanamatatizo sana najua wanajiandaa kuiba kula kwa vile hiyo ndiyo njia pekee kwao.

Sijawahi kumuona uso kwa uso lakini kuna Tetesi ametoboa sikio kama yule aliyekuwa anagombea Arumeru.
 
Msisahau Kurudi MSIMAMIZI wa Uchaguzi akishamtangaza Mh. Mgimwa kuwa ni Mbunge wa Jimbo la Kalenga!
 
Yaani dogo anaoa mzungu badala ya kuoa mnyalukolo. Leo asinge hangaika kujifunza kihehe na kiswahili.We mzungu hata kamwene hajui!Na kidada cha mhehe kama hujui kihehe imekula kwako.
 
Eeh tuliwaambia lakini kwamba Kalenga na watu wake ni wale wale aina ya wataka mabadiliko, wasiotaka unyonyaji na unyanyasaji ndio
maana jana sapoti kubwa ilionekana kwenye uzinduzi wa kampeni za CHADEMA. Wanaamini CHADEMA ndiye chama chenye majibu ya matatizo yao

kiukweli Mgimwa Jr ana wakati mgumu sana mbele ya wanakalenga, hauziki, hakubaliki.

Grace Tendega mwanakalenga wa kweli songa mbele, mkombozi wa kweli wa wanakalenga

Kuna maeneo hapa Kalenga tumeenda yaani watu hawajui Kiswahili Kabisa.Wanafahamu Kihehe tu.Sasa huyu kijana mtoga masikio atafanya nini?
 
Back
Top Bottom