habariyamujini
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 3,094
- 457
Mwisho wa siku mnakimbia na kuingia mitini wote! Subirini kitakachowakuta hamtarudi tena Kalenga!
Nasikia amefungiwa sehemu afundishwe kihehe angalau cha kunywea maji
Hao wapo kwenye korido za Lumumba wakisubiria malipo ya wiki!
Wewe na hiyo avatar yako mna tofauti gani kuuliza swali hili kwenye jukwaa la siasa?
dogo ametoboa hadi sikio,hapo ccm wame ingia mkenge
Kwani ni mfuasi wa Cameroon ? Mbona anatazamacchini chini?Mtu mwenyewe akihojiwa na waandishi wa Habari anatizama chini TU.
dogo ametoboa hadi sikio,hapo ccm wame ingia mkenge
Kwani ni mfuasi wa Cameroon ? Mbona anatazamacchini chini?
Kwahiyo mko busy kuchapa kura za bandia?maana huwezi kuwa na confidence na dogo hauzikiWivu tu wa kike ati dogo nyie mmemsimamisha nani ajuza? Sasa subirini cha moto mtakachokipata na asiwepo mtu wa kutoa matusi maana mtaanza kuwatukana wana Kalenga baada ya matokeo!
Asikimbie mtu yeyote hapa hadi siku ya matokeo ili tujuwe dogo na ajuza nani zaidi!
kuipigania ccm ni lazima uwe na moyo wa CHUMA ! Maana haikubaliki bali inalindwa na madaraka tu !
Tatizo kuiba kura inakuwa ngumu kama akianguka sana.Siunaona Arusha wana shindwaga kwani wanaiba bado zinakwama
Tunataka kuona style mtakayo tumia kum:llama::llama:nadi mvaa heleniKalenga piga ua garagaza ni ya CCM hata mkitembea na chief Mangungo wa Msovero hamuwezi kuchukua jimbo Hilo!
Sasa Subirini jimbo la Chalinze tuwatandike kote kote na lazima mkae!
Kwahiyo mko busy kuchapa kura za bandia?maana huwezi kuwa na confidence na dogo hauziki
Tunataka kuona style mtakayo tumia kum:llama::llama:nadi mvaa heleni