tatanyengo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 1,134
- 280
Katika hali inaayoonekana kutaka kukiimarisha chama hasa kwa kutumia vijana, Chama Cha Mapinduzi kinajiandaa kutumia mitandao ya kijamii kama vile Facebook, twitter na mingineyo kwa ajili ya mawasiliano. Hayo yamesemwa na Nape Nauye katika mahojiano yake na TBC radio mchana huu. Nape amesema kwa kuwa wapiga kura walio wengi ni vijana ili kuwakamata vilivyo inatubidi tubadilishe mbinu za mawasiliano na tutumie mitandao ya kijamii.
Source:TBC Radio
Source:TBC Radio