Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 1,124
- 2,195
Wakati Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinaenda kutimiza miaka 48 tangu kuanzishwa kwake vijana wameshauriwa kutumia kwa faida mitandao ya kijamii ili iwanufaishe kwenye shughuli zao na shughuli za kichama.
Soma Pia: Mtwara: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Akizungumza kwenye hafla fupi ya kusherehekea miaka 48 ya chama hicho iliyoambatana na kufanya usafi kwenye ofisi ya CCM kata ya Shangani, Katibu wa CCM Wilaya ya Mtwara Mjini mkoani Mtwara, Fadhil Mrami amesema mara kadhaa wanawaomba vijana kutumia mitandao kwa maslahi yao binafsi na chama chao kwani mambo mengi yanafanyika kidijiti.
Soma Pia: Mtwara: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Akizungumza kwenye hafla fupi ya kusherehekea miaka 48 ya chama hicho iliyoambatana na kufanya usafi kwenye ofisi ya CCM kata ya Shangani, Katibu wa CCM Wilaya ya Mtwara Mjini mkoani Mtwara, Fadhil Mrami amesema mara kadhaa wanawaomba vijana kutumia mitandao kwa maslahi yao binafsi na chama chao kwani mambo mengi yanafanyika kidijiti.