chitambikwa
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,941
- 900
Gazeti haliuzi hata nakala 200 sasa linapata wapi watu wa kufanya utafiti?
kingwendu dume la mbeguUnafaa kuwa Mrs Kingwendu.
Rais Bush kuwa Rais wa Tanzania kuliko chadema kushinda arumeru. Hata bila utafifi hivi barcelona ikicheza na meru united mechi ya mtoano hata kama refa ni mmeru barca itashinda tu. Ni ratiba tu na formality lakini Ushindi wa CCM uko given kama jua kuzama
kingwendu dume la mbegu
Rais Bush kuwa Rais wa Tanzania kuliko chadema kushinda arumeru. Hata bila utafifi hivi barcelona ikicheza na meru united mechi ya mtoano hata kama refa ni mmeru barca itashinda tu. Ni ratiba tu na formality lakini Ushindi wa CCM uko given kama jua kuzama
Rais Bush kuwa Rais wa Tanzania kuliko chadema kushinda arumeru. Hata bila utafifi hivi barcelona ikicheza na meru united mechi ya mtoano hata kama refa ni mmeru barca itashinda tu. Ni ratiba tu na formality lakini Ushindi wa CCM uko given kama jua kuzama
akili za mchembaLabda mbegu za kunde na uwele.
Tatizo lako Mwigulu matatizo yako ya nyuma hayajaishaa....Kama msomi ongea kwa data basi sio propaganda ...ili nasi tukuamini...
Rais Bush kuwa Rais wa Tanzania kuliko chadema kushinda arumeru. Hata bila utafifi hivi barcelona ikicheza na meru united mechi ya mtoano hata kama refa ni mmeru barca itashinda tu. Ni ratiba tu na formality lakini Ushindi wa CCM uko given kama jua kuzama
Nadhani unawapa moyo wenzako tu, nakumbuka hata Saddam Hussein hadi anakamatwa makamanda wake walikuwa wanamwambia kuwa wanaelekea kushinda vita. Kwa mtu mwenye akili timamu hata kama CCM ikishinda ni kutokana na mbinu za hovyo na propaganda za kishenzi ambazo zitakuja kuwatokea puani siku moja. Kwa hili la utafiti sijui, Rai gazeti msimamizi ni Bashe kada wa CCM ungetegemea nini? Ndiyo maana huwa naamini kweli kuwa CCM lazima wakati flani upeleke akili zako likizo, hivi kama kushinda CCM Arumeru ni given sasa huko umefuata nini?
Kwangu mimi CDM kushinda Arumeru ni kitu kimoja lakini kikubwa ninachokiona ni Elimu tosha ya uraia inayoendelea kutolewa na kuwaamusha watu toka usingizini ili mbele ya safari akishinda CDM, CCM, TLP au chama kingine wananchi wawe na uelewa na haki zao, ili baadaye tupatwe uhuru wa kweli.
CCM mmekuwa mkitumia sana mikakati ya kufukarisha na kudanganya watu,ili mtawale kirahisi. Mf. Mkapa amesema ardhi ya Wameru itarudi akienda kumuomba Kikwete, assume Sioi ameshinda na ndani ya miaka 3 ardhi isirudi (ambayo ni ngumu kwani naamini waliopewa hiyo ardhi wa hati kisheria), je kwa Wameru walivyo 2015 si wanaweza kumchinja Sioi?
Binafsi sikuamini ni kauli inayotokam kwa Mtu mzito namna hii tena kwa kutumia ID yake na kwa wadhifa alio nao kwenye chama. Hii ni aibu na hii ni reflection ya wanaotuongoza kwenye nchi hii...i like maneno ya lipumba kuwa nchi ina OMBWE LA UONGOZI....Nikadhani kuwa pia atakuwa na ujasiri wa kujibu hoja zinazoulizwa humu sasa naona keshasepa...ivi wale vijana wa kijiweni pale usa natengeru wasemeje kama kampeni meneja anasema haya??
May take......CCM ni Janga la Taifa.
Hata bila utafiti, suala la ushindi kwa CCM liko wazi sana. Hawa Chadema hawana wanachama hata 10,000 Arumeru halafu wanategemea kushinda uchaguzi? Hizi ni ndoto za Abunuwasi!
Rais Bush kuwa Rais wa Tanzania kuliko chadema kushinda arumeru. Hata bila utafifi hivi barcelona ikicheza na meru united mechi ya mtoano hata kama refa ni mmeru barca itashinda tu. Ni ratiba tu na formality lakini Ushindi wa CCM uko given kama jua kuzama
Rais Bush kuwa Rais wa Tanzania kuliko chadema kushinda arumeru. Hata bila utafifi hivi barcelona ikicheza na meru united mechi ya mtoano hata kama refa ni mmeru barca itashinda tu. Ni ratiba tu na formality lakini Ushindi wa CCM uko given kama jua kuzama
Haya nayo ni mawazo mfu timu itoayo visingizio...hapo hakuna utafiti wowote ulifanywa zaidi ni kuandaa mazingira ya wizi wa kura(kuchakachua)...CDM kuweni makini,wizi wa kura umeanzia kwenye magezeti(RAI) msikubali ufike kwenye box la kura...