Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,495
- 93,003
Jitu linalowaza ngono tu unadhani kuna akili imesalia kichwani mwake?........usikute hapo yupo Guest House na mke wa mtu. ila nampa angalizo uko Arumeru watu wamezoea kuchinja mbuzi, kwahiyo kumchinja mzinzi kama huyu Magulu Muchemba siyo issue kwao.Hawa ndio aina ya viongozi tulionao badala ya kuongea facts wanaleta mipasho, tuambie kwa nini Sioi atashinda sio hadithi za Bush na mechi za meru united,haya ya barca waachie mashabiki wa JF watatuambia. Hata kama CCM itashinda tell us how and why, kwa nini hamjifunzi uongozi mnakimbilia kuongoza? kweli i fell to understand the type of leadership we have in Tanzania they are not serious.