TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 31,193
- 18,217
na huyu ndio kampeni meneja.......... one can tell how CCM is running out of smart people, wawaombe vijana wenye upeo wawasaidie siyo huyu aiseeRais Bush kuwa Rais wa Tanzania kuliko chadema kushinda arumeru. Hata bila utafifi hivi barcelona ikicheza na meru united mechi ya mtoano hata kama refa ni mmeru barca itashinda tu. Ni ratiba tu na formality lakini Ushindi wa CCM uko given kama jua kuzama
CCM may win yes, but majibu kama ya Radhia yanamake sense kuliko hoja yako
angalia hata anavyolinganisha vitu.... one can tell what the hec is in his head!!!! pooofff