CCM yafunika Mpanda

huyo mama aloshika bango la kaki inaonekana kabisa amelazimishwa kuja, tena inaonyesha hajala kabisa, na kama sijakosea bango alilobeba liliandaliwa na NAPE, ule muandiko wa NAPE kabisaaaaa.... huyo mama hata kusoma hajui.
 
jamani tuweni wawazi, hilo bango kaandika huyo mama kweli????
 
Hii ni style yao katika majimbo ya CHADEMA....! Hata kipindi cha uchaguzi JK alifunika kule Karatu (kwa mujibu wa picha na taarifa zao), lakini manufaa yako wapi? .... ! Ewe Great Thinker, fikiria hili, lakini changanya na zako....!
 




Sagwa kwani tunabishana hapa?
Hoja za ccm na Nape kwenye majibu hayo ni zipi?
 

Hawa watu walioandamana kwa kupewa kofia, t-shirt na mshiko kidogo ni wakuhurumia. Tungepata picha za huyu mama aliyeshika bango akiwa kwake tungemuhurumia zaidi. Sifahamu unahitaji uwe mjinga kiasi gani kuamini kwamba umaskini hauwezi kuondolewa na uongozi uliopo umeshashindwa kwenye hilo
 
Hao ndio maelfu jamani watu hata 100 kufika ni bahati kwan kama wajumbe wa CCM ni zaidi ya 200 ina maanisha kuwa hao ni wajumbe tu wa CCM na hakuna mwananchi hata mmoja humo na kama wamo basi hawafiki 50,,, pole sana NNAPE maana huu ndio mwisho wako kujiua kisiasa,,,
 
Kuna mtu kasema wao 133 tu. Na wote ni ten cell leaders wa ccm.
 
Jamani, mbona ni KIJANI tu? Mbona hawana shangwe? Mbona wananchi wa pembeni kwao hawana time nao hata kuonesha alama ya Dolegumba?

Mungu wangu, CCM kwa mtindo huu hawafiki 2015.
 

Walisahau fomular hii, labda Nape pesa zote anakula mwenyewe agawi kwa wazee wa mipango.

 
HAO NI KAMA WATU 190 HIVI UKITOA VIONGOZI WA CCM WILAYA NA UKITOA WAKINA NAPE NA MADREVA WAO MAKE HAPO HATA DREVA WA NAPE YUKO KWENYE HAYO MANADAMANO NA WALIO SALIA NI MABALOZI WA NYUMBA KUMIKUMI.
SUMRY ALITOA MALORO KUWA BEBA ILI KUFUNIKA AJARI YA BASI LAKE KULE MBEYA.
Na hizo tsheti sio mpya ni za kampeni za mwaka jana nyie hamjui ndo nguo za kutokea?
 
Hao wakina mama wataandikaje mabango wakati hata shule hawajaenda? Huo ni mwandiko wa katibu wa ccm wilaya ya mpanda.
 
umeshika madaraka halafu unatafuta kufunuka kwenye mikutano?
ndicho wananchi wanachotarajia?kila siku upokwenye kampeni ni lini utaanza kutekeleza ahadi?
 

Huyu mama aliyebeba bango la Ufisadi, Hakya Mungu anaitukana CCM kwa staili ya rejareja
CCM kazi mnayo
 

Ngonini umeongea jambo la maana sana, inabidi hawa kina mama ambao bado wamelala wapigwe semina elekezi ili wajitambue, maana wanachofanya sasa ni kufuata mkumbo tu, ukiwapa kanga ukawapigia taarab za TOT basi umewamaliza kabisa. Halima Mdee, Regia Mtema na wanawake wote wapenda maendeleo ndani ya cdm hebu anzeni mara moja kampeni ya kuelimisha wanawake wenzenu wa Tanzania hasa vijijini, ili by 2015 ccm wawe wamebaki peke yao.
 
Chrolophobia is the fear of green color, that's is exactly what I am suffering from in the mean time, so nimeacha kula mboga za majani (za kijani) pilipili nakula nyekundu tu, nyumbani kwangu nimeng'oa majani yote kwenye garden hivi sasa naweka paving blocks, michongoma nimeng'oa najenga ukuta. So please, kindly keep all green colors out of my sight.
 
Mafisadi mnao huko lakini kilasiku mnapiga kelele utafikiri hamuwajui! sasa hayo mabango mnamuonyesha nana mbona hamjawaandika majina hawa watu?

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…