MNYISANZU
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 7,048
- 1,102
Kwa hiyo wewe ni mfu anayeishi?Za kwako ziko chumba cha maiti si afadhali zangu bado napumua
Kwa hiyo wewe ni mfu anayeishi?Za kwako ziko chumba cha maiti si afadhali zangu bado napumua
Faiza Foxy bana, ungejiita bibi porojo manake wewe sasa ni mbibi ati...Za kwako ziko chumba cha maiti si afadhali zangu bado napumua
Natamani hii id ipigwe life ban, wewe unang'ang'ania kwenye screen kwanini usiende huko Arumeru afu ukaja na habari za uhakika?..asante kwa ufafanuzi walioko Arumeru wanaweza kutuambia kama kweli kijiji hicho kipo, NAPE wasiliana na wanaCCM wenzako tupe ukweli wa kijiji hiki.
...hili nalo neno!...mkuu tunaomba ufafanuzi japo kidogo ili hii message ifike vizuri ulikokusudia...Nape "ukiona baba wa kambo anakuchekea si kwamba anakupenda ila atakuwa anampenda mama yako"
Kweli nimeamini CCM ni taasisi ya Lowassa. Mpaka Nape ameanza kumlamba miguu! Pesa mwanaharamu. Ooh Siyoi is not fit or sijui nini! Vuvuzela wewe!
USHINDI WA CHADEMA ITAKUWA PICHA ToSHA UCHAGUZI 2015.
Kata Ya Poli hwakupata mtu hata mmoja.
Sing'isi walipata watu jumla haifiki kumi
Na Mgombea Sioi alifika Tengeru kuweka mafuta gari lake bila hata ya kusalimiwa na mtu mmoja, watu walikuwa wakimshangaa tu. Tengeru ndio mji wa karibu na kijiji anachotoka na ilikuwa ni soko leo.
cha muhimu hapo ni kushika neno moja kutoka Nape SIASA NI TIMING,tusipige kelele mitandaoni pasi kuwepo ktk maeneo ya matukio na kujiridhisha nini kina endelea
nami nasema UCHAGUZI NI KAMA MBIO ZA RIADHA,UNAWEZA PITWA MWISHONI
Landala,
KWAKUWADANGANYA HUKU WENZIO NDIO MTAKUJA SEMA MMEIBIWA KURA. HAKUNA MAHALI CCM WAMEKOSA WATU KAMA UNAVYODAI, SASA SIJUI MWISHO WA UONGO NA UZUSHI KAMA HUU NDIO YALE YA UZINI, CCM 5000, CDM 200.........OOOOOH TUMEIBIWA! SIASA YATAKA TIMING DOGO!!!
asante kwa ufafanuzi walioko Arumeru wanaweza kutuambia kama kweli kijiji hicho kipo, NAPE wasiliana na wanaCCM wenzako tupe ukweli wa kijiji hiki.
arumeru ameruhusiwa kwenda au kapigwa stop tena ??? au kazira
Landala,
KWAKUWADANGANYA HUKU WENZIO NDIO MTAKUJA SEMA MMEIBIWA KURA. HAKUNA MAHALI CCM WAMEKOSA WATU KAMA UNAVYODAI, SASA SIJUI MWISHO WA UONGO NA UZUSHI KAMA HUU NDIO YALE YA UZINI, CCM 5000, CDM 200.........OOOOOH TUMEIBIWA! SIASA YATAKA TIMING DOGO!!!
Landala,
KWAKUWADANGANYA HUKU WENZIO NDIO MTAKUJA SEMA MMEIBIWA KURA. HAKUNA MAHALI CCM WAMEKOSA WATU KAMA UNAVYODAI, SASA SIJUI MWISHO WA UONGO NA UZUSHI KAMA HUU NDIO YALE YA UZINI, CCM 5000, CDM 200.........OOOOOH TUMEIBIWA! SIASA YATAKA TIMING DOGO!!!
kamwuliza Nape na sio wewe.Na mkopo wa MBOWE aliokopa NSSF na kukataa kulipa kesi yake imeishia wapi?Twende kwenye mada ukitaka kutupeleka kwingine kila mtu anaweza