MNYISANZU
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 7,048
- 1,102
Hawezi kujibu hoja because yeye ni bajaji na Lowassa ni Ferrari!we nape rudi hapa toe sababu za msingi za wana Arumeru kumchagua Sioi na ccm,
Hawezi kujibu hoja because yeye ni bajaji na Lowassa ni Ferrari!we nape rudi hapa toe sababu za msingi za wana Arumeru kumchagua Sioi na ccm,
Kweli nimeamini CCM ni taasisi ya Lowassa. Mpaka Nape ameanza kumlamba miguu! Pesa mwanaharamu. Ooh Siyoi is not fit or sijui nini! Vuvuzela wewe!
Kwenye Mtandao hapa JF 2010 Slaa alishinda kwa asilimia kubwa sana...kilchotokea baada ya uchaguzi ni kuangukia pua!Kwa taarifa yako siasa siku hizi sio za majukwaani tena hizo ni za kizamani vijana siku hizi wapo kwenye mitandao shauri yenu magamba
Utabaki na hiyo mentality...sisi tunaendelea kushinda!Magamba yanakuwasha!
Landala,
KWAKUWADANGANYA HUKU WENZIO NDIO MTAKUJA SEMA MMEIBIWA KURA. HAKUNA MAHALI CCM WAMEKOSA WATU KAMA UNAVYODAI, SASA SIJUI MWISHO WA UONGO NA UZUSHI KAMA HUU NDIO YALE YA UZINI, CCM 5000, CDM 200.........OOOOOH TUMEIBIWA! SIASA YATAKA TIMING DOGO!!!
Landala,
KWAKUWADANGANYA HUKU WENZIO NDIO MTAKUJA SEMA MMEIBIWA KURA. HAKUNA MAHALI CCM WAMEKOSA WATU KAMA UNAVYODAI, SASA SIJUI MWISHO WA UONGO NA UZUSHI KAMA HUU NDIO YALE YA UZINI, CCM 5000, CDM 200.........OOOOOH TUMEIBIWA! SIASA YATAKA TIMING DOGO!!!
Landala,
KWAKUWADANGANYA HUKU WENZIO NDIO MTAKUJA SEMA MMEIBIWA KURA. HAKUNA MAHALI CCM WAMEKOSA WATU KAMA UNAVYODAI, SASA SIJUI MWISHO WA UONGO NA UZUSHI KAMA HUU NDIO YALE YA UZINI, CCM 5000, CDM 200.........OOOOOH TUMEIBIWA! SIASA YATAKA TIMING DOGO!!!
Leo kulikoni kujibu hoja? Wewe hata ukiweka post yako mwenyewe hujibu wala kuendelea kuchangia. Leo hili linaukweli na linakukera ndio maana umeamua kupunguza uchungu kwa kuandika hivi. Polee Sana kwa kutumiwa kama kivuko cha Chai Chapati Maharage.Landala,
KWAKUWADANGANYA HUKU WENZIO NDIO MTAKUJA SEMA MMEIBIWA KURA. HAKUNA MAHALI CCM WAMEKOSA WATU KAMA UNAVYODAI, SASA SIJUI MWISHO WA UONGO NA UZUSHI KAMA HUU NDIO YALE YA UZINI, CCM 5000, CDM 200.........OOOOOH TUMEIBIWA! SIASA YATAKA TIMING DOGO!!!
OOH ...pole Nape,laiti ungejua yanayokufata ungekaa kimya...nakumbuka siku ile unatangaza sioyi kupitishwa na magambaz pamoja na fisadi mkapa kua mfungua na mfunga kampeni zenu ulikua unang"ata meno kwa jazba..pole kijana ww sio mmoja wao,unatumika tuu na unajua hivyoLandala, KWAKUWADANGANYA HUKU WENZIO NDIO MTAKUJA SEMA MMEIBIWA KURA. HAKUNA MAHALI CCM WAMEKOSA WATU KAMA UNAVYODAI, SASA SIJUI MWISHO WA UONGO NA UZUSHI KAMA HUU NDIO YALE YA UZINI, CCM 5000, CDM 200.........OOOOOH TUMEIBIWA! SIASA YATAKA TIMING DOGO!!!
Landala,
KWAKUWADANGANYA HUKU WENZIO NDIO MTAKUJA SEMA MMEIBIWA KURA. HAKUNA MAHALI CCM WAMEKOSA WATU KAMA UNAVYODAI, SASA SIJUI MWISHO WA UONGO NA UZUSHI KAMA HUU NDIO YALE YA UZINI, CCM 5000, CDM 200.........OOOOOH TUMEIBIWA! SIASA YATAKA TIMING DOGO!!!
landala,
kwakuwadanganya huku wenzio ndio mtakuja sema mmeibiwa kura. Hakuna mahali ccm wamekosa watu kama unavyodai, sasa sijui mwisho wa uongo na uzushi kama huu ndio yale ya uzini, ccm 5000, cdm 200.........oooooh tumeibiwa! Siasa yataka timing dogo!!!
Landala,
KWAKUWADANGANYA HUKU WENZIO NDIO MTAKUJA SEMA MMEIBIWA KURA. HAKUNA MAHALI CCM WAMEKOSA WATU KAMA UNAVYODAI, SASA SIJUI MWISHO WA UONGO NA UZUSHI KAMA HUU NDIO YALE YA UZINI, CCM 5000, CDM 200.........OOOOOH TUMEIBIWA! SIASA YATAKA TIMING DOGO!!!
1.naomba nikumbushe mkuu..hivi kule igunga Mwigulu Nchemba alifumaniwa na nani tena??? 2.hivi Mkapa ameshajibu tuhuma za kumrestisha in peace Mwalimu NYERERE??? 3. na Sioi ameshakua raia wa Tanzania???? nisaidie hayo maswali mkuu najua upo karibu na wahusikaNapenda sana jinsi ambavyo wanaCDM wa hapa JF wanajipaga moyo halafu wanaishia kuangukia pua kila mara! Siasa za kwenye keyboard haziwasaidii.
Acha kupotosha umma...
Mmefulia CCM na mipango yenu tumeijua....
Arumeru hamtuibii tena