Mkuu Nape,
Mtoa hoja hajasema kwamba mmekosa kabisa watu. Amesema kwamba mmepata umati dhaifu! Alafu naomba nikuulize hivi safari hii umeenda Arumeru au?
landala,
kwakuwadanganya huku wenzio ndio mtakuja sema mmeibiwa kura. Hakuna mahali ccm wamekosa watu kama unavyodai, sasa sijui mwisho wa uongo na uzushi kama huu ndio yale ya uzini, ccm 5000, cdm 200.........oooooh tumeibiwa! Siasa yataka timing dogo!!!
Landala,
KWAKUWADANGANYA HUKU WENZIO NDIO MTAKUJA SEMA MMEIBIWA KURA. HAKUNA MAHALI CCM WAMEKOSA WATU KAMA UNAVYODAI, SASA SIJUI MWISHO WA UONGO NA UZUSHI KAMA HUU NDIO YALE YA UZINI, CCM 5000, CDM 200.........OOOOOH TUMEIBIWA! SIASA YATAKA TIMING DOGO!!!
ndg yangu ule mtaji wa ccm ambayo ni UJINGA NA MASIKINI WA KUTUPWA ASIYEJUA KESHO ATAISHIJE, UMEPUNGUA KWA KASI SANA. Hii ni northen blocLandala,
KWAKUWADANGANYA HUKU WENZIO NDIO MTAKUJA SEMA MMEIBIWA KURA. HAKUNA MAHALI CCM WAMEKOSA WATU KAMA UNAVYODAI, SASA SIJUI MWISHO WA UONGO NA UZUSHI KAMA HUU NDIO YALE YA UZINI, CCM 5000, CDM 200.........OOOOOH TUMEIBIWA! SIASA YATAKA TIMING DOGO!!!
Landala,
KWAKUWADANGANYA HUKU WENZIO NDIO MTAKUJA SEMA MMEIBIWA KURA. HAKUNA MAHALI CCM WAMEKOSA WATU KAMA UNAVYODAI, SASA SIJUI MWISHO WA UONGO NA UZUSHI KAMA HUU NDIO YALE YA UZINI, CCM 5000, CDM 200.........OOOOOH TUMEIBIWA! SIASA YATAKA TIMING DOGO!!!
Lahaulah Mwana *******!!!!!!
Nape! Uuuuuwiiiiiiiii! Hatimaye umelazimika kula ****** *******!!!!!?????
Sasa huyu ndio katibu mwenezi na kila Uchaguzi ambazo mafisadi wana mkono(Igunga-Rostam, Arumeru-EL) halafu Nape hawezi kukanyaga, kweli huyu ni mwenezi au BOYA? Nape unajidhalilisha bwana mdogo, usikubali kutumiwa kama vile vifaa vya kuzuia uzazi au magonjwa ya zinaa. SIMAMIA UNACHOKIAMINI MOYONI MWAKO.Anga za Lowasa hizo katu hawezi kutia mguu. na hata akitia mguu ataongea nini?
Kwa taarifa yako siasa siku hizi sio za majukwaani tena hizo ni za kizamani vijana siku hizi wapo kwenye mitandao shauri yenu magambaNapenda sana jinsi ambavyo wanaCDM wa hapa JF wanajipaga moyo halafu wanaishia kuangukia pua kila mara!
Siasa za kwenye keyboard haziwasaidii.
Magamba yanakuwasha!Napenda sana jinsi ambavyo wanaCDM wa hapa JF wanajipaga moyo halafu wanaishia kuangukia pua kila mara!
Siasa za kwenye keyboard haziwasaidii.
we nape rudi hapa toe sababu za msingi za wana Arumeru kumchagua Sioi na ccm,Landala, KWAKUWADANGANYA HUKU WENZIO NDIO MTAKUJA SEMA MMEIBIWA KURA. HAKUNA MAHALI CCM WAMEKOSA WATU KAMA UNAVYODAI, SASA SIJUI MWISHO WA UONGO NA UZUSHI KAMA HUU NDIO YALE YA UZINI, CCM 5000, CDM 200.........OOOOOH TUMEIBIWA! SIASA YATAKA TIMING DOGO!!!
Chama cha Mauaji aka CCM kimeendelea kupata wakati mgumu kwenye kampeni zake za ubunge jimbo la Arumeru Mashariki baada ya kukosa watu kwenye mikutano yake ya kampeni,leo jioni nilipita kata moja na kukuta watu ni wachache mno na wengi wao ni watoto na akina mama ambao wamepewa kanga na sh 5000 ili waende kwenye huo mikutano yao,mgombea wa CCM ndugu Sioi Sumari ameendelea kutokukubalika maeneo mengi ambapo wananchi wamesema marehemu baba yake aliyekuwa mbunge Jeremiah Sumari aliwaahidi mambo mengi lakini mpaka kifo chake alikuwa hajatekeleza hata robo ya ahadi alizozitoa kwenye uchaguzi ulio pita.Tumewachoka CCM walisema wananchi wengi na kuanza kuimba tunaitaka CHADEMA ambaye ni mtetezi wa wanyonge..
Natamani hii id ipigwe life ban, wewe unang'ang'ania kwenye screen kwanini usiende huko Arumeru afu ukaja na habari za uhakika?..
Ikishindwa je?
Mkuu washindani wenyewe ni sungura na kinyonga, kinyonga ccm atafanya muujiza gani kumpita sungura hali ya kuwa tunajua mungu kesha sitisha miujiza long time.