VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Zikiwa zimebaki siku 11 za kampeni, CCM imeanza kuchukua hatua muhimu za kuelekea kupata ushindi. Tayari timu ya wataalamu imeitishwa bila kutishwa ili kusafisha njia ya ushindi. Wataalamu hao wanatokea kada mbalimbali za kimaisha kama sheria, utaalamu wa kompyuta, utaalamu wa kisiasa/kipropaganda, usalama na kadhalika. Pia,wamealikwa wasomi ili kuchangia mawazo.
Timu husika itakuwa na wajibu wa kuyapatia majibu mambo yote yaliyojitokeza katika kampeni ili CCM iweze kupeta pamoja na uwepo wa upepo huo. Wataalamu hao watasafisha CCM,kusawajisha na kufifisha upinzani na kukipatia chama chetu kura za ushindi wa kishindo katika namna za kitaaalamu. Wataalamu hao tayari wameshatumiwa nauli na kauli ili wasikioneshe chama jeuri na kiburi. Unatakiwa ushauri.
Kila litakalojiri, vutizi au la, mtalijua.Tumejipanga.....mwaka huu wataisoma!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Timu husika itakuwa na wajibu wa kuyapatia majibu mambo yote yaliyojitokeza katika kampeni ili CCM iweze kupeta pamoja na uwepo wa upepo huo. Wataalamu hao watasafisha CCM,kusawajisha na kufifisha upinzani na kukipatia chama chetu kura za ushindi wa kishindo katika namna za kitaaalamu. Wataalamu hao tayari wameshatumiwa nauli na kauli ili wasikioneshe chama jeuri na kiburi. Unatakiwa ushauri.
Kila litakalojiri, vutizi au la, mtalijua.Tumejipanga.....mwaka huu wataisoma!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam