CCM wavamia na kuvuruga uchaguzi wa DARUSO (UDSM)

Ni dalili mbaya kwa Chama tawala, mnapokuwa hamkubaliki na vijana na wasomi. Ndio maana vyama huru vya wasomi wengi na vijana kama TLS hakuna mwenye itikadi ya kiCCM anashinda. Ndivyo kote kungekuwa huru basi wenye itikadi ya kiCCM wasingeshinda. Ni moja ya njia ya wasomi na vijana kuonesha kuichoka iliyopo madarakani

Ukiona vijana na wasomi hawakukubali anza kuhesabu siku za kutawala.

Mbona pale kwenye attachment tumeona mmoja tu ambaye anaikataa CCM. Walikuwepo vijana wengi na karibu wote walikuwa wanamshangaa huyo kijana anaye piga kelele na wanajaribu kumtuliza. Statistically ina onyesha CCM inapendwa na wanachuo wengi from that sample.
 
Mbona pale kwenye attachment tumeona mmoja tu ambaye anaikataa CCM. Walikuwepo vijana wengi na karibu wote walikuwa wanamshangaa huyo kijana anaye piga kelele na wanajaribu kumtuliza. Statistically ina onyesha CCM inapendwa na wanachuo wengi from that sample.
Umesoma statistics ndugu?
 
Siasa za vyuoni!!!! Bora kufanya kilichokupeleka huko chuo mengine fanya baadae ukishahitimu.
Wewe chuo hukufika. Hujui kwanini kinaitwa chuo kikuu. Maisha ya sasa ukienda chuo ukaishi maisha ya triangle ( darasani, library and hostel) bac apo umefail maisha.
 
Tangu lini watu wakalazimishwa kupenda kitu so wewe kuipenda chadema umelezimishwa. Tukubaliane mkuu kuwa saizi kutokana na mambo yanayofanywa na rais watu wameamua kuipenda ccm na kutembea kifua mbele malalamiko yenu yote rais kayafanyia kazi
Una hakika?
 
Mkuu ludi nyumbani kumenoga maisha bongo rahisi sana kuliko huko ulaya mnakokaa kwa masimango mi mtoto wangu anasoma FEZA mikocheni ni shule yenye standards kama za huko uliko
Wewe nimeshakujua kumbe ni fala kiasi hiki sasa kazi unayo kuanzia sasa.

Bongo kulivyo kwa kifala hivi mtu anafanya kazi ya 5M anapata 200K seriously? WTF nakwambia humu utapata tabu sana na mimi fala mkubwa wewe
 
Sikuamini mheshimiwa MBOWE aliposimama mbele yawaandishi wa habari na kwa ujasiri kbs anasema Mzee LOWASSA alitota km Mlenda... Very shaime to all chadema's opposition
 
CCM inachukiwa mpaka na sisimizi aisee, ndiyo maana wanatumia ubabe kutuharibia nchi
Hata wewe ni Sisimizi, kwa CCM ya sasa labda taila na Msukule ndo anaichukia. Mbali na Changamoto ndogo ila CCM ya sasa huwezi kuifananisha na Chadema ya matukioni.
CHANGAMOTO ZA UCHAGUZI DARUSO ni kawaida kwenye ushindani wowote kutokea, kwani ili uwe candidate lazima ukidhi matakwa ya sheria za uchaguzi vyuoni.
 
CCM imeleta utulivu sana UDSM zile kelele za migomo migomo saizi zimeisha watoto wanasoma na kumaliza kwa raha. Kuna kipindi hata waajiri wakawa wanaogopa kuajiri wanafunzi wa UDSM wakiamini wanaweza kuwa wanaleta migomo maofisini
makamasi
 
Wewe nimeshakujua kumbe ni fala kiasi hiki sasa kazi unayo kuanzia sasa.

Bongo kulivyo kwa kifala hivi mtu anafanya kazi ya 5M anapata 200K seriously? WTF nakwambia humu utapata tabu sana na mimi fala mkubwa wewe
ha ha ha ha ha as if unaweza kunifanya chochote hata tukikutana live
 
Back
Top Bottom