Chama cha Mapinduzi kimetuma makada wake kwa kusaidiwa na dola kuhujumu uchaguzi wa Serikali ya wanafunzi wa Daruso chuo kikuu cha Dar es Salaam.
Katika hali isiyo ya kawaida baadhi ya wanafunzi wameonekana wakipinga hali hii ambayo Lengo lake ni kuhakikisha wanafunzi wenye itikadi za kiccm ndo wanashinda
====
The president of the UDSM Human Rights organisation, has said that the commotion is due to elections rights violations where various qualifying candidates have been ommitted from the selection ballots despite campaigning to the end, for national political parties partisanship