Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Hali ndani ya kambi ya ccm imekuwa yahuzuni baada ya moja ya misafara yake ya Magari inayozunguka kila pembe ya Kalenga kupata ajali mbaya usiku huu, watu wamejeruhiwa vibaya ambapo mmoja ameteguka kiuno na mwingine shingo, na wengine wameumia vibaya miguu nk, lakini hakuna mauti,
Gari iliyopata ajali ni namba T999BFE, waliokuwa kwenye gari hiyi ni Green Gurd waliofahamika ni wawili majeshi na kimarao, walienda kutoa rushwa
Chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi wa dereva wao.
Tuwaombee ndugu zetu wapone haraka kwani siasa sio uadui,
Gari iliyopata ajali ni namba T999BFE, waliokuwa kwenye gari hiyi ni Green Gurd waliofahamika ni wawili majeshi na kimarao, walienda kutoa rushwa
Chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi wa dereva wao.
Tuwaombee ndugu zetu wapone haraka kwani siasa sio uadui,