Damu yao iliyomwagika ni malipo kwa kitendo cha kumpiga Mh. Rose Kamili kwani wanatakiwa wajue CDM inatembea na Mungu.
Natamani Mwigulu angekuwa mmoja wao..
Hali ndani ya kambi ya ccm imekuwa yahuzuni baada ya moja ya misafara yake ya Magari inayozunguka kila pembe ya Kalenga kupata ajali mbaya usiku huu, watu wamejeruhiwa vibaya ambapo mmoja ameteguka kiuno na mwingine shingo, na wengine wameumia vibaya miguu nk, lakini hakuna mauti,
Gari iliyopata ajali ni namba T99BFE, waliokuwa kwenye gari hiyi ni Green Gurd waliofahamika ni wawili majeshi na kimarao, walienda kutoa rushwa
Chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi wa dereva wao.
Tuwaombee ndugu zetu wapone haraka kwani siasa sio uadui,
Hiyo namba ya usajiri wa gari haipo.
Kajipange upya na umbea wako.
Wangekufa tu kwasababu maccm hayana faida kwa tanzania zaid ya hasara