mrxtz2026
JF-Expert Member
- Jan 24, 2026
- 498
- 1,077
Katika tovuti ya www.katibampya.com kuna Rasimu ya katiba yenye muundo wa dola lenye mihimili minne ya kitaifa, Yaani.ndiyo hata vyombo vya dola ni CCM au sehemu ya wahuni ndo maana hawataki kuinusuru nchi.
1. Baraza la Usimamizi wa Taifa
2. Serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania
3. Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania
4. Mahakama ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Muundo huu unafunga kabisa ufisadi, ubadhirifu wa mali za umma na vitendo vya kuvunjifu wa maadili ya taifa, aidha pia rasimu hiyo imeweka falsafa, mamlaka na mifumo ya sheria za kikatiba inayowezesha taifa kurudi kwenye umoja wake, mshikqmano, uwazi, ukweli na uwajibikaji wa pamoja.
Baraza la Usimamizi wa Taifa limetqmkwa katika SURA YA NNE ya katiba hiyo kuanzia ibara ya 98 mbaka ibara ya 116 na kufuatia mihimili mingineyo kama ilivyotamkwa hapo juu.
Neno langu la mwisho ni hivi shida si tu wahuni, shida mfumo wetu wa kikatiba Huna mianya mingi ya kusababisha wahuni wawepo,
#Tufunge mianya hiyo