Mimi Mwaka huu Wananchi wa Tanzania wakichagua tena CCM, ctokuwa na mda wa kuyaongelea maovu ya ccm maana wananchi wenyewe watakuwa wameridhika na hali hii na umaskini wao.
Kwangu mimi niliebaatika angalau kupata elimu ya Chuo, nina kazi yangu, watoto wangu na mke wangu wanaweza kupata kiendacho kinywani, naweza kuendesha gari yangu, natibiwa kwa kadi ya bima nk.
Namwambia mwananchi mlala hoi jinsi UKAWA utakavyowasaidia
1. Elimu bure adi vyuo vikuu
2. Bei ya vifaa vya ujenzi kushuka na atimae kila mtanzania kuondokana na nyumba za nyasi na tembe.
3. Matibabu bure kwa wazee
4. Serikali ya majimbo( Itakayoleta chachu ya maendeleo majimboni"county" na cyo kodi zote kujenga Dar na zinazobaki kuliwa.
5.na zingine nyingi.
Kwayo mimi na wezangu wengu humu hamtafaidika sana kama mwananchi
Wa kawaida.
Mfano: kuna watu humu wanaweka kazi zao rehani kuwatetea kazi ambazo wengine unaona tayari wana maisha angalau wana nyumba wanaendesha magari yao,
Lakini bado wananchi wanapinga hawasikii.
Ndugu zangu Inatosha, tujitoe kimasomasonmwaka huu tuwaambie wananchi kama hawatasikia kwa Kupewa kanga na vitisheti!!!!!!
Mtanishangaa kuanzia 2016.
Kuongea mbona rahisi sana ,ata mie ninaweza kukwambia CCM ikishindwa mwezi 10 kila raia atapewa mshahara wa million 10.Mdomo haulipiwi.Tatizi linakuja ni jinsi gani utafanya hayo?na ndio maana Dr Slaa kakimbia mdahalo maana mbele ya guru ka uchumi Prof Lipumba asingeweza kutetea hayo.
Katika upinzani kuna kichwa kimoja tu, Le Proffesseur Ibrahim Haruna Lipumba