CCM wanapenda namba lakini hawajui hesabu

CCM wanapenda namba lakini hawajui hesabu

Brain washed. . . . . . .Hebu taja hizo bidhaa unazoita za ndani zinazoweza endesha maisha ya mtanzania wa kawaida bila kununua za nje

ok hata kama hatuna izo bidhaa tunafanya nini kuhakikisha tunazalisha izo bidhaa?, ila tukiendelea kulalamika unafikiri itasaidia, acha kutumia viungo vingine kufikiria tumia akili basi ata kidogo
 
J. F. Kennedy"dont ask what your country can do for you, just ask yourself what you can do for your country".
Watanzania tusiwe wajinga kufikiria tukaishia kulalamika bila kuchukua hatua zozote. Kabla mleta post haujaja kujambajamba apa jukwaani jiulize je wewe umechangia nini kwenye uchumi wa nchi yako? Shillingi yetu inashuka kutokana na watu kupenda kununua bidhaa toka nje badala ya kusaidia na kununua bidhaa zinazotengenezwa hapa nchini ndio maana viwanda vya ndani vinakosa nguvu matokeo yake ndio ayo dollar kupanda zidi ya shillingi yetu na sio hiyo tu tukiendelea kulalamika ushishangae hata hela ya kagame itakuwa juu siku moja kuliko hela yetu

Nina mashaka na upeo wako wa kufikiria naona wewe kukariri misemo ya watu kunakusumbua sio kila kitu ni kufikiri kuwa mtanzania mmojammoja anaweza Fanya mambo mengine ni ya kisera zaidi na yanapaswa kusimamiwa na serikali
 
Nina mashaka na upeo wako wa kufikiria naona wewe kukariri misemo ya watu kunakusumbua sio kila kitu ni kufikiri kuwa mtanzania mmojammoja anaweza Fanya mambo mengine ni ya kisera zaidi na yanapaswa kusimamiwa na serikali

unafikiria hata kama sera zitakuwa nzuri kiasi gani kama tutaendelea kuwa walalamikaji tu bila mtu mmojamoja kuchukua hatua madhubuti tutaendelea kulalamika tuu so mi mwenyewe nina wasiwasi na upeo wako wa kufikiria au umeadhiriwa na siasa za kitanzania
 
J. F. Kennedy"dont ask what your country can do for you, just ask yourself what you can do for your country".
Watanzania tusiwe wajinga kufikiria tukaishia kulalamika bila kuchukua hatua zozote. Kabla mleta post haujaja kujambajamba apa jukwaani jiulize je wewe umechangia nini kwenye uchumi wa nchi yako? Shillingi yetu inashuka kutokana na watu kupenda kununua bidhaa toka nje badala ya kusaidia na kununua bidhaa zinazotengenezwa hapa nchini ndio maana viwanda vya ndani vinakosa nguvu matokeo yake ndio ayo dollar kupanda zidi ya shillingi yetu na sio hiyo tu tukiendelea kulalamika ushishangae hata hela ya kagame itakuwa juu siku moja kuliko hela yetu

acha Ku type kama hujitbui......jitathmin mwenyewe hapo ulipo.....umevaa nguo za Tanzania? sim yako unayotumia no ya tz? hata kampun ya mawasiliano unayotumia ni ya tz? usafir unaotumia no Wa tz? soda ... bia vinatoka nje....hebu Fanya kitu kimoja unda bidhaa zako sim....TV...frij...beer...soda...nguo....tutanunua kwako...namaterial utengeneze mwenyewe nasi wafanya biashara tutanunua kwako
 
unafikiria hata kama sera zitakuwa nzuri kiasi gani kama tutaendelea kuwa walalamikaji tu bila mtu mmojamoja kuchukua hatua madhubuti tutaendelea kulalamika tuu so mi mwenyewe nina wasiwasi na upeo wako wa kufikiria au umeadhiriwa na siasa za kitanzania

mfano Mdogo kuna viwanda vya sukar tz Na vya nje.....sukar ya ndan inauzwa ghal kuliko ya nje.....hapo unafuu Wa maisha uko wap
 
ok hata kama hatuna izo bidhaa tunafanya nini kuhakikisha tunazalisha izo bidhaa?, ila tukiendelea kulalamika unafikiri itasaidia, acha kutumia viungo vingine kufikiria tumia akili basi ata kidogo

wazir alishasema machungwa ya tanga hayafai kutengenezea juic waagiza ya nje.......Na hiki kiwanda change cha gongo hawatak kukipa usajili....
 
ok hata kama hatuna izo bidhaa tunafanya nini kuhakikisha tunazalisha izo bidhaa?, ila tukiendelea kulalamika unafikiri itasaidia, acha kutumia viungo vingine kufikiria tumia akili basi ata kidogo

wewe imeshachukua hatua kama ipi kwa mfano?
 
ok hata kama hatuna izo bidhaa tunafanya nini kuhakikisha tunazalisha izo bidhaa?, ila tukiendelea kulalamika unafikiri itasaidia, acha kutumia viungo vingine kufikiria tumia akili basi ata kidogo

wewe umeshachukua hatua kama ipi kwa mfano?
 
Mimi ninawaambia tunakoelekea Shilingi yetu itakuwa sawa na ile ya Uganda au kuwa chini yake,sasa huwa ninashangaa sana wanaposema eti Nchi yetu ipo kwenye orodha ya nchi
Uchumi wake unakua kwa kasi.Siku zote Mungu huwa hamfichi mnafiki,Kushuka kwa thamani ya shilingi yetu na Maisha magumu ya Wa-tz ni kielelezo tosha kuwa Wa-tz tunahadaiwa kwa takwimu feki.

mkuu kwa taarifa yako shilingi ya unganda imeimalika ukilinganisha na ya tz maana iko 1.3 ambapo zamaniilikua 1.6.
kiukweli sh ya tz ndo inapumulia ICU
 
Mushi92

Soma hii hapa ya Godlisten Malisa itakusaidia


  • Kuna watu wanapenda namba lakini hawajui hesabu. Kama na wewe ni mmoja wao tafadhali usisome makala hii.

    Wabunge wengi na mawaziri wa chama cha mapinduzi ni wagonjwa wa namba. Wanapenda namba lakini hawajui hesabu. Ukitaka wakushangilie we ongeza tarakimu tu kwenye namba. Wanapenda namba lakini hawajui hesabu.!

    Kama ulikua unamlipa mtumishi mshahara wa laki 5 mwaka jana mwaka huu mlipe laki 7. Atashangilia na kukushukuru. Kumbe hajui upande wa pili gharama za maisha zimeifanya hiyo laki 7 iwe sawa na laki moja ya mwaka jana. Yeye atakushukuru tu, kwa sababu anapenda namba lakini hajui hesabu.!

    Naona wengi hamjanielewa. Ni hivi kuna faida gani kulipwa mshahara wa milioni mbili halafu ukauziwa sukari kilo moja sh.3000/=??? Si bora ulipwe laki 5 sukari uuziwe sh.500/= kwa kilo. Kama unapenda namba lakini hujui hesabu huwezi kunielewa.

    Twende kwenye historia kidogo. Mwaka 2005 wakati Rais Mkapa anaondoka madarakani bajeti ya serikali ilikua Trilioni 7. Mwaka huu ni Trilioni 22. Wanaopenda namba lakini hawajui hesabu wameshaanza kushangilia eti "bajeti imekua"..

    Ukweli ni kwamba bajeti haijakua ila imezidi kuporomoka. Lets calculate together.

    Ni hivi. Mwaka 2005 bajeti ilikua Trilioni 7 na thamani ya dola moja ilikuwa sawa na Sh.950. So ukichukua Trilioni 7 ukigawanya kwa Sh.650/= utapata 10,769,230, yani Dola Bilioni kumi na milioni mia 7.

    Mwaka huu bajeti ni Trilioni 22. Na thamani ya dola ni Sh.2250. Ukichukua Trilioni 22 ukigawanya kwa Sh.2250/= utapata 9,777,777 yani dola Bilioni 9 na milioni mia 7.

    Hii ina maana kuwa bajeti ya mwaka huu (dola Bilioni 9) ni ndogo kuliko bajeti ya mwaka 2005 (dola Bilioni 10).

    Maana yake ni kwamba kwa miaka yote 10 ya utawala wa JK tumepiga hatua 9 mbele tukarudi nyuma hatua 10. Halafu tunajipongeza.. Wanaopenda namba lakini hawajui hesabu hawawezi kunielewa.!

    Haiwezekani bajeti ya mwaka 2005 iwe kubwa zaidi kuliko bajeti ya mwaka huu wakati mwaka huu mahitaji ni makubwa zaidi kuliko ya 2005. Watumishi ni wengi zaidi, miradi ya maendeleo ni mingi zaidi na hata population ni kubwa zaidi. So tulitegemea bajeti ya mwaka huu iwe kubwa zaidi. Kubwa maradufu kuliko ya mwaka 2005. Lakini cha ajabu imekua ndogo kuliko ya 2005. Halafu wabunge wa CCM wanaopenda namba bila kujua hesabu wanashangilia eti bajeti imepanda.

    Tafsiri hii ya bajeti ina maanisha kuwa kwa miaka 10 ya utawala wa Kikwete tumeshindwa kwenda mbele japo hatua moja. Badala yake tumerudi nyuma kwa hatua moja (10-9).

    Kwa lugha rahisi ni kuwa maisha ya leo yamekuwa magumu zaidi (in one decimal place) kulinganisha na maisha ya miaka 10 iliyopita.

    Yani mtumishi aliyekuwa analipwa mshahara wa laki 3 mwaka 2005 aliishi maisha mazuri kuliko mtumishi anayelipwa milioni moja leo.

    Unajua kwanini? Mwaka 2005 sukari kilo moja ilikua Sh.500. Kwa hiyo kwa mshahara wa laki 3 ulikua una uwezo wa kununua kilo 600 za sukari kwa mwezi. Leo sukari kilo moja ni sh.2200/= kwa hiyo kwa mshahara wa milioni moja unaweza kununua kilo 454 tu za sukari. Hapa tunasema purchasing power ya shilingi imeporomoka mara dufu. Wanaopenda namba lakini hawajui hesabu hawawezi kunielewa.!

    Mwaka 2005 mfuko mmoja wa cement uliuzwa Sh.4500/= hadi 5000/=. Kwa maana hiyo mtumishi aliyelipwa mshahara wa laki 3 aliweza kununua mifuko 66 ya cement. Leo cement mfuko mmoja ni sh.20,000/= hadi 25,000/=. So mtumishi anayelipwa milioni moja ana uwezo wa kununua mifuko 40 tu ya cement. Laki 3 ya mwaka 2005 imekuwa kubwa kuliko milioni ya leo.

    Mfumuko wa bei kuanzia mwaka 2005 hadi sasa ni wa kiwango cha asilimia mia nne (400/%). Maana yake ni kwamba bidhaa zimepanda mara 4 ya bei yake just for ten years.

    Nyama iliyokua inauzwa kilo moja sh.1000/= sasa hivi inauzwa 4000/= hadi 6000/=. Mchele uliokua ukiuzwa Sh.350/= kwa kilo moja saivi ni 1500/=. Nauli ya daladala iliyokua sh.150 saivi ni 500/=. Mafuta ya taa lita ilikua sh.350/= saivi ni karibia sh.2000/=

    Kimsingi kila bidhaa imepanda bei mara 4 au zaidi ya bei yake ya mwaka 2005. Tafsiri yake ni kwamba mfumuko wa bei (inflation rate) ni wa kiwango cha zaidi ya 400% (Hyper Inflation)

    Katika uchumi inflation yoyote inayoanzia tripple digit na kuendelea ni "Hyper Inflation". Yani ni mfumuko wa bei wa kiwango kibaya zaidi unaoweza kuathiri uchumi wa nchi kabisa.

    Nchi inapaswa kuwa na mfumuko wa bei wa kawaida (moderate inflation) ambao ni single digit. Yani mfumuko ukiwa wa kuanzia asilimia moja (1%) hadi tisa (9%) hiyo ni moderate inflation na haina athari kubwa kiuchumi. Hata nchi kama Marekani inflation rate yao ni moderate.

    Lakini sisi tuna asilimia 400 za mfumuko wa bei. Hii ni hatari sana. Very soon tutawakaribia Zimbabwe au Somalia kuanza kutembea na hela kwenye matoroli. Hata wao walianza hivihivi.!

    Thamani ya shilingi inaporomoka kila siku na watu wanashangilia. Huu ni "uzwazwa" wa kiwango cha Phd.

    Jiulize embe lililokua likiuzwa sh.50 pale sokoni Buguruni leo linauzwa sh.500 hadi 1000. Yani Mara 20 zaidi. So kwa mtindo huu ukitaka kujua bei ya embe miaka 10 ijayo chukua bei ya sasa (sh.1000/=) halafu zidisha mara 20.

    Kwa hiyo tukipata Rais kama Kikwete miaka 10 ijayo tutanunua embe moja kwa sh.20,000/=.. walahi.! itabidi tuwe na noti ya shilingi laki moja.

    Kama embe limepanda bei mara 20 tangu mwaka 2005 hadi 2015, tutegemee lipande tena mara 20 kuanzia 2015 hadi 2025. This means mwaka 2025 bei ya embe itakua elfu 20. Ukitaka kununua embe kumi unaenda na laki mbili. Sasa sijui wale wafanya biashara wa embe wanaonunua kwa fuso watalipa bei gani?

    Bila shaka watalipa "mabilioni" kadhaa kwa fuso moja. Yani unaenda kwa mkulima na fuso lako limejaa hela (noti). Mkulima anapakua hela akimaliza anapakia maembe. Huko ndiko serikali ya CCM inakotaka kutufikisha.

    Nisiongee sn maana napata tu hasira bure na huenda hata hamnielewi.



 
Last edited by a moderator:
Tulimumu nisihangaike kujaza seva kwa ku quot cmn.

Je una uhakika 2005 dolla iliuzwa kwa tsh 650?
Naomba uhakika juu ya hilo maana nikiangalia kumbukumbu zangu dolla ilkuwa inasimamia 1200
 
Last edited by a moderator:
J. F. Kennedy"dont ask what your country can do for you, just ask yourself what you can do for your country".
Watanzania tusiwe wajinga kufikiria tukaishia kulalamika bila kuchukua hatua zozote. Kabla mleta post haujaja kujambajamba apa jukwaani jiulize je wewe umechangia nini kwenye uchumi wa nchi yako? Shillingi yetu inashuka kutokana na watu kupenda kununua bidhaa toka nje badala ya kusaidia na kununua bidhaa zinazotengenezwa hapa nchini ndio maana viwanda vya ndani vinakosa nguvu matokeo yake ndio ayo dollar kupanda zidi ya shillingi yetu na sio hiyo tu tukiendelea kulalamika ushishangae hata hela ya kagame itakuwa juu siku moja kuliko hela yetu

Sina hakika kama unatafakari kwa kina.
 
Kwani ni kila kitu kinategemea dola??? Ni kweli dola huwa na effect lakini sio kwa kiwango unachojaribu kutueleza
 
Mwaka wa serikali 2014/15 mshahara ulkuwa 30000sh
Ambao ni sawa na dolla 176 ambapo dola ilkuwa inasimamia 1700sh

Lkn leo utaongezewa itafika 350000 ambao ni sawa na dollar 159 ambapo tumefanya dollar kuwa2200

Je itabakhapo hapo bila kupanda?

Na ss tutaendelea kufurahia ujinga hadi lini?
Huu ni ujinga uliopitiliza
 
Mwaka wa serikali 2014/15 mshahara ulkuwa 30000sh
Ambao ni sawa na dolla 176 ambapo dola ilkuwa inasimamia 1700sh

Lkn leo utaongezewa itafika 350000 ambao ni sawa na dollar 159 ambapo tumefanya dollar kuwa2200

Je itabakhapo hapo bila kupanda?

Na ss tutaendelea kufurahia ujinga hadi lini?

mkuu ungegawanya na index ndo ungelia mpaka basi! wataaamu wa uchumi watuambie tuko kwenye index kiasi gani! ccm ni majanga
 
Kwani ni kila kitu kinategemea dola??? Ni kweli dola huwa na effect lakini sio kwa kiwango unachojaribu kutueleza

Mafuta yanayoendeshea mitambo ya kuzalisha bidhaa, petroli unaagiza( unanunua) kwa Tanzania shilings??? Fungukeni ndio ninyi mtaosema Twaweza kila siku kumbe Twashindwa!!!
 
ok hata kama hatuna izo bidhaa tunafanya nini kuhakikisha tunazalisha izo bidhaa?, ila tukiendelea kulalamika unafikiri itasaidia, acha kutumia viungo vingine kufikiria tumia akili basi ata kidogo

Sasa wewe ni decision maker, au think tank ya hii nchi, are you a policy maker, wewe unakaa kwenye baraza!!???
Wewe una influence gani katika kuwepo au kutokuwepo wa kiwanda "physically" ???!!!
Role yako ni kununua bidhaa zenye ubora ili upate valie for money wao wana hitajika kuhakikisha hizo bidhaa zinazalishwa humu nchini . . . . . . so badala ya kuungana nguvu na sie tunaotaka watu wachukue wajibu wao we unaleta misemo ya J.F . Kennedy ambaye aliongelea kwenye industrialized country . . . .

Halafu eti unataka watu watumie akili, ipi hiyo ambayo watu wakitumia unaweza kwenda nao sambamba!!!!???


Wengi mmekuwa brain washed to an extent mna assume responsibilities za watu wengine na mnajilaumu kwa mapungufu yao. . .. . .
 
Back
Top Bottom