Kuna mfanyakazi wa Maliasili amekufa wiki 2 zilizopita. Kuna tetesi kuna aliwekewa Sumu ya mamba.
Kisa ishu za ufisadi.
CCM wanafanya kila njia kuhakikisha wanabaki madarakani maana wakitoka tu wanajua wataangamia.
Watu wengine bana, sijui ni mBumbumbu au waoga au sijui hawana information au uvivu wa kufikiri. Ana kaa chini kabisa ana mpendekeza Kinana !!! Aibuuuu
Kisa ishu za ufisadi.
CCM wanafanya kila njia kuhakikisha wanabaki madarakani maana wakitoka tu wanajua wataangamia.
Watu wengine bana, sijui ni mBumbumbu au waoga au sijui hawana information au uvivu wa kufikiri. Ana kaa chini kabisa ana mpendekeza Kinana !!! Aibuuuu