Lord Denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 23,491
- 57,965
- Thread starter
- #101
Kwa anayeshangaa ujinga na upuuzi unaofanywa na hawa wapuuzi wanaojiita G55 aje kusoma huu uzi.
Kila kitu kilishasema hapa.
Kila kitu kilishasema hapa.
Endeleeni kuwalambisha asali mapandikizi yenu. Naona leo mmelipia kabisa pressPorojo tu
Hakuna jipya
Tuko mbele sana ya muda. Hakuna wanachofanya ambacho hatupati habari yake.Mpaka wameenda Kununuwa mamruki kule Chadema