McDonaldJr
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 6,386
- 7,562
Haaa haaa wadau bado wanagonga mvinyo kwenye mahekalu ya duniani uko wanatunga sheria waje vipi,nashauri mzee wangu aanze pole pole abakie na pumzi maana naona vita itakua ndefu na ngumu hawa wenye Tz yao wanajulikana kwa counter attack.