Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,219
- 4,085
Mbona hakuna watu? Au John Komba hakuwepo kutoa burudani?
Hapo naona tu wazee, nafikiri hawakuhitaji burudani
Mbona hakuna watu? Au John Komba hakuwepo kutoa burudani?
Si kwamba hakuna watu labda huoni vizuri watu walikuwa wa kumwaga hadi mpiga picha akakosa sehemu nzuri ya kusimama ili achukue picha nzuri.Mbona hakuna watu? Au John Komba hakuwepo kutoa burudani?
Kwa vipi mkuu mkutano wa viongozi tena wa kitaifa halafu iwe kejeli mtake radhi Nape.Ha ha ha,, hii kejeli kwa CCM
Nani kawambia tunatumia malori si ungeyaona kwenye picha hizo ni mbinu za wapinzani wetu.kuupata umati wote huo ccm imetumia sh ngapi?mabasi na malori mangapi yalikodishwa kubeba wadanganyika?
Nimecheka sana leo,kwa umati huu unahitaji ujasiri wa kifisadi kupost picha za mikutano ya kujivua gamba.Kwa vipi mkuu mkutano wa viongozi tena wa kitaifa halafu iwe kejeli mtake radhi Nape.
Ndugu yangu uko dunia ya wapi tumkitaka mtu tunamwandalia kila kitu kadi mpya bendera mpya yeye hana haja kujua vimetoka wapi unaweza kumuuliza Makamba nafikiri dili kama hizi anazijua zaidi, kwamba wapi tunazipeleka hiyo ni kazi ndogo sana tunachotaka sisi ni picha tu itoke gazetini.Kuna jambo moja ningependa kufaham wana JF,
Inakuwaje mwanachama wa CDM anapoamua kujiunga CCM anapeleka hiyo kadi CCM wakati ya CDM ili iweje? Na wakishaipokea wanaifanyia nini? Vivyo hivyo wa CCM akijiunga na CDM anakabidhi kadi ya CCM kwa CDM, wanazifanyia nini baadae hizo kadi? Tena hapo juu naona huyo amepeleka bebdera ya CDM kwa CCM ili iweje? na wataifanya nini? Ikiwa wataichoma moto italeta maana gani? Au hivi vyama vina utaratibu wa kurudishiana hivyo vitu?
Mie huwa sielewi kabisa logic ya hii kitu labda ingekua inaonyeshwa pale tu anapojiunga kisha baadae mhusika anarudisha kule alikoitoa.
.
Mbona hujmalizia wengi wao ajuza wasioelewa wamefata nini na watu ambao hawana kazi zakufanya
Kwa vipi mkuu mkutano wa viongozi tena wa kitaifa halafu iwe kejeli mtake radhi Nape.
Nakubaliana na wewe kabisa!! Huu ulikuwa ni mkutano wa viongozi!! Wananchi wa kawaida hawakualikwa!!