Kwan kwenye uchaguzi wa August 12/2018 2018 na Sept 16/2018 CCM iliita bila kupingwa kata ngapi?Uamuzi wa kishujaa na kizalendo wa kususia chaguzi zote ndogo umeanza kuwachoma ccm baada ya uchaguzi wa udiwani wa kata za Hamgembe na Kagondo mjini Bukoba kukosa washindani wa kuisindikiza ccm hivyo kujikuta wapo pekee yao kama wanafanya kikao cha familia.Hongera sana cdm kwa uamuzi wa kizalendo.wagombea wa ccm ni Anatory Amani na Mhaji Kachwamba sasa wanajipachika udiwani kwa mtindo wa chama kimoja hapa giza kule mtuView attachment 874692View attachment 874693
Anayefurahia hajui ya mbele yake hata ya kizazi chake kijacho.Ni wa kuhurumiwa.Mkuu ni mtu mjinga tu atakaye furahia Tanzania kurudi kwenye mfumo wa chama kimoja
CDM has many intellectual , wait and see how the lunatics are going to face the coming hot shit from their shit holesHuu uamuzi CDM wamechelewa sana kuuchukua, ilibidi hata Monduli, kule kigoma kote wasingeshiriki.......wallah idadi ya wapiga kura ingewaacha na aibu.
Susa tule hiyo walahi!Ukizira wenzio wanakula, muda utaotaka kula sababu ya njaa wenzako wameshamaliza msosi.
Hongereni chadema kwa uamuzi wa 'kizalendo'.
MTU unamsoma mpaka unamhurumia.AiseeeeeWamesha pofushwa tayari hawajui la leo wala kesho
Ni bora iwe hivyo, naamini hata zoezi la ununuzi binadamu litakoma sasa.Mkuu nikweli kabisa lkn sasa ndiyo safari imeanza rasmi
Watakuja sikia njaa itakuwa too late. Mwenye njaa hasusiwi msosi.Susa tule hiyo walahi!
Kweli nyie hamna aibu hadi pandikizi lenu le profesel pumba amewashitukia!!! HahahaNa ruzuku pia msusie mapaka shume nyie!