CCM waanza kuonja makali ya CHADEMA

CCM waanza kuonja makali ya CHADEMA

Hiyo ndiyo inaitwa kumchinja kobe
 
Unajuwaje kama hana ushahidi?
Mkuu tuachane na "porojo" basi, siku zote mtu mwenye ushahidi hasa wa tuhuma nzito kama hizo huwa anakwenda "mahakamani" kutafuta haki yake. Ukiona hupati haki kwenye mahakama za ndani, unakwenda hata kwenye mahakama za kimataifa, ili mradi tu kuionesha jamii ya kimataifa kuwa wewe unadai haki kwa kufuata njia iliyo sahihi.

Ukiona mtu anabwabwaja tu pasipo kwenda mahakamani, fahamu kwamba mtu huyo hana ushahidi, bali anatuhumu tu ili aonewe huruma, maana anaogopa kukubali kusema kuwa ameshindwa kihalali. Kulalamika ni mbinu tu ya kisiasa.


Mbinu hii ya kulalamika lalamika hovyo imekuwa ikitumiwa na CHADEMA miaka nenda rudi hasa pale wanaposhindwa kwenye uchaguzi. Hawana jipya, Watanzania wenye akili zetu tumeshawazoea hao.
 
Sawa bwana endeleeni kubakia kwenye mfumo wa chama kimoja
Mkuu tuachane na "porojo" basi, siku zote mtu mwenye ushahidi hasa wa tuhuma nzito kama hizo huwa anakwenda "mahakamani" kutafuta haki yake. Ukiona hupati haki kwenye mahakama za ndani, unakwenda hata kwenye mahakama za kimataifa, ili mradi tu kuionesha jamii ya kimataifa kuwa wewe unadai haki kwa kufuata njia iliyo sahihi.

Ukiona mtu anabwabwaja tu pasipo kwenda mahakamani, fahamu kwamba mtu huyo hana ushahidi, bali anatuhumu tu ili aonewe huruma, maana anaogopa kukubali kusema kuwa ameshindwa kihalali. Kulalamika ni mbinu tu ya kisiasa.


Mbinu hii ya kulalamika lalamika hovyo imekuwa ikitumiwa na CHADEMA miaka nenda rudi hasa pale wanaposhindwa kwenye uchaguzi. Hawana jipya, Watanzania wenye akili zetu tumeshawazoea hao.
 
Uamuzi wa kishujaa na kizalendo wa kususia chaguzi zote ndogo umeanza kuwachoma ccm baada ya uchaguzi wa udiwani wa kata za Hamgembe na Kagondo mjini Bukoba kukosa washindani wa kuisindikiza ccm hivyo kujikuta wapo pekee yao kama wanafanya kikao cha familia.Hongera sana cdm kwa uamuzi wa kizalendo.wagombea wa ccm ni Anatory Amani na Mhaji Kachwamba sasa wanajipachika udiwani kwa mtindo wa chama kimoja hapa giza kule mtuView attachment 874692View attachment 874693

Hivi we mzima kweli.
 
Kuvunjika kwa pakacha nafuu kwa mchukuzi.Ndo wakiombacho kijani mkisusa wao wanapeta,sawa na kumsusia fisi bucha sio kumkomoa
 
Hizo hela za ushindi wa msuso,wazielekeze tu kwny kamati za maafa,kununulia vifaa
 
Ebu sema Kweli Rafiki angu kama ni mpenzi wa Mungu.Je unataka Upinzani sawa wafanyeje.Au washiriki hivyohivyo huku wakirudisha form wahusika hawapo wakishinda hawatangazwi wao.Wanapigwa.Na yote.Au huoni.Unajua kuna wakati hata kama nini.Jaribu kutafakari kama MTU mwenye upeo.Sasa wameamua kuwaachia .Napo unalaumu.Au nia yako nini.Ebu nieleweshe kidogo.Labda mi ndo sijakuelewa.
Mkuu lengo langu mimi ni kuionesha jamii kuwa hawa CHADEMA wanawadanganya Watanzania pale wanaposema eti wanadhulumiwa kwenye chaguzi. Kama kweli wanadhulumiwa kwanini hawaendi kufungua kesi mahakamani za kupinga uchaguzi??

Ninachotaka mimi ni hao CHADEMA wawe wawazi tu wakubali kuwa wameshindwa kufanya siasa na wasisingizie kudhulumiwa. Wasimtafute "mchawi" wakati mchawi ni wao wenyewe.
 
Mkuu lengo langu mimi ni kuionesha jamii kuwa hawa CHADEMA wanawadanganya Watanzania pale wanaposema eti wanadhulumiwa kwenye chaguzi. Kama kweli wanadhulumiwa kwanini hawaendi kufungua kesi mahakamani za kupinga uchaguzi??

Ninachotaka mimi ni hao CHADEMA wawe wawazi tu wakubali kuwa wameshindwa kufanya siasa na wasisingizie kudhulumiwa. Wasimtafute "mchawi" wakati mchawi ni wao wenyewe.
Furahini maana kwa kujitoa cdm mtakuwa mnapata ushindi hata bila ya kufanya kampeini
 
Mkuu lengo langu mimi ni kuionesha jamii kuwa hawa CHADEMA wanawadanganya Watanzania pale wanaposema eti wanadhulumiwa kwenye chaguzi. Kama kweli wanadhulumiwa kwanini hawaendi kufungua kesi mahakamani za kupinga uchaguzi??

Ninachotaka mimi ni hao CHADEMA wawe wawazi tu wakubali kuwa wameshindwa kufanya siasa na wasisingizie kudhulumiwa. Wasimtafute "mchawi" wakati mchawi ni wao wenyewe.
Wanalazimisha ushindi hawa watu
 
Wapiga kura hawana haki ya kuchagua wakuwawakilisha,Zaid ya kuchaguliwa na kijani
 
Usipende sana vya bure utajikuta unarudi kwenye enzi hizi
Taabu kwa ajili ya aibu... lakini raha bila jasho.
FB_IMG_1537109267619.jpeg
 
Hapo sawa na kumsukuma mlevi,gedere kasusiwa shamba
 
Mkuu lengo langu mimi ni kuionesha jamii kuwa hawa CHADEMA wanawadanganya Watanzania pale wanaposema eti wanadhulumiwa kwenye chaguzi. Kama kweli wanadhulumiwa kwanini hawaendi kufungua kesi mahakamani za kupinga uchaguzi??

Ninachotaka mimi ni hao CHADEMA wawe wawazi tu wakubali kuwa wameshindwa kufanya siasa na wasisingizie kudhulumiwa. Wasimtafute "mchawi" wakati mchawi ni wao wenyewe.
Kawaida Mimi nikishaona MTU anajifanya haelewi wala haoni yanayotokea.Nashindwa hata kujibizana nae.
OK.Hongera.Mafanikio mema.
 
Mkuu ni mtu mjinga tu atakaye furahia Tanzania kurudi kwenye mfumo wa chama kimoja
Kawaida Mimi nikishaona MTU anajifanya haelewi wala haoni yanayotokea.Nashindwa hata kujibizana nae.
OK.Hongera.Mafanikio mema.
 
Huu uamuzi CDM wamechelewa sana kuuchukua, ilibidi hata Monduli, kule kigoma kote wasingeshiriki.......wallah idadi ya wapiga kura ingewaacha na aibu.
 
Back
Top Bottom