CCM waaibika Arusha

CCM waaibika Arusha

Ha ha ha Ha ha Nimejikuta nacheka tuuuu....Ukikataliwa bwana tabu sana.....
 
SAHIHISHO>> MZEE AMOS URONU alikuwa ni balozi(mjumbe wa nyumba kumi) kwa tiketi ya ccm na siyo chadema kama mtoa mada alivyodai,hayo mengine sijui,Rip balozi wetu.
 
Mkuu hao maccm mngewaacha wakafanya siasa zao kwenye msiba, ila mlitakiwa kuwa makini na chombo cha rambi rambi, hawakawii kukimbia na rambirambi:llama:
Ndio Maana mleta taarifa kwangu aliniambia walipo ingia walikua attention sana na simu sukuizi wanapiga mpaka simu mkuu
 
Haya majamaa yalinichekesha tulikua msibani huko kwetu kuna jamaa anaitwa karim akamtuma mwakilishi wake eti anakuja kwenye msiba anaomba mic kumnadi huyu karim kumbe hakujua peopleessss!!!wapo mbona alikiona
 
Haya majamaa yalinichekesha tulikua msibani huko kwetu kuna jamaa anaitwa karim akamtuma mwakilishi wake eti anakuja kwenye msiba anaomba mic kumnadi huyu karim kumbe hakujua peopleessss!!!wapo mbona alikiona
Ccm nikikundi cha wachawi
 
Kilichotokea leo kwenye msiba wa balozi wa chadema Themi Arusha CCM wameaibika baada ya ndugu wa marihemu kuwakata ccm na kumtambua mweyekiti wa mtaa themi masha shiriki hm.

Godfrey Mushi na Kinabo Diwani Themi Mashariki. CCM wamekimbia na kuvunjika meno katibu wa CCM amepotea na ajulikani alipo.

Chademakwanza CCM dawa yao ni kuwapa makavu kama alivyosema mwenyekiti wao wakati akitaka Lowasa apewe makavu na haraki zake za kuwapa watu pesa akitaka uongozi
 
Kilichotokea leo kwenye msiba wa balozi wa chadema Themi Arusha CCM wameaibika baada ya ndugu wa marihemu kuwakata ccm na kumtambua mweyekiti wa mtaa themi masha shiriki hm.

Godfrey Mushi na Kinabo Diwani Themi Mashariki. CCM wamekimbia na kuvunjika meno katibu wa CCM amepotea na ajulikani alipo.

Duh hiyo kali
 
SAHIHISHO>> MZEE AMOS URONU alikuwa ni balozi(mjumbe wa nyumba kumi) kwa tiketi ya ccm na siyo chadema kama mtoa mada alivyodai,hayo mengine sijui,Rip balozi wetu.


Alikabidhiwa kadi ya Chadema kwenye viwanja vya Transformer walivyoteuliwa alikua balozi kupitia chadema
 
Ni hapa Tanzania siasa zinatakiwa kukomaa siku hasi siku na watu waelimishwe na wahamasishwe bila kujali ni sehemu gani ya kusanyiko.Kwani kwa majirani zetu Kenya hatujifunzi au kuona nini kinaendelea ili kuhamasisha na kuwaweka watu aware?
Wakiensa hata msibani au kanisani au hata misikitini watu huzungumza siasa hizi hizi.
Siasa ni medani inayogusa maosha ya kila mwanajamii...hata unaposem hupendi siasa lakini kwa namna kubwa kabisa muelekeo au dira ya maisha katika kutafuta huwa determined na politics.
Unatakiwa ujue na wewe mwenyewe mwanajamii utambue nini nafasi yako katika jamiii..
Kwani msibani mtaenda kumlilia marehemu tu na kuhuzunika na mmengineyo yasizungumzwe?
Hapa kwetu Tanzania tumekalia tu ooooh !!!!siasa kwenye nyumba za ibada haziruhusiwi au si mahala pake,kuna kipengele kinasema au kukataza hayo kikatiba au ni kama utaratibu umengeka?
Ila mwisho wa siku yalija machafuko au mparaganyiko ni hawa hawa wanasiasa hikimbilia kwa viongozi wa dii kutaka usuluhishi au busara zao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom