Chademakwanza
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 6,346
- 1,872
- Thread starter
- #61
Mambo kijinga haya utu ni zaidi ya siasa
Hapo ndio utaona ujinga wa ccm ulipo
Mambo kijinga haya utu ni zaidi ya siasa
Kuendekeza siasa hata kwenye mambo ya kijamii ni utoto na ushamba.
Hii ni Aibu na kutokukubalika kwa ccm Arusha ndio wanaona wafanye hayaKilichotokea leo kwenye msiba wa balozi wa chadema Themi Arusha CCM wameaibika baada ya ndugu wa marihemu kuwakata ccm na kumtambua mweyekiti wa mtaa themi masha shiriki hm.
Godfrey Mushi na Kinabo Diwani Themi Mashariki. CCM wamekimbia na kuvunjika meno katibu wa CCM amepotea na ajulikani alipo.
Hii ni Aibu na kutokukubalika kwa ccm Arusha ndio wanaona wafanye haya
Mbona story yako haina mashiko au ndio kwanza umeingia kwenye jamvi?