CCM tusiruhusu majina matatu Urais, sio utamaduni wa Chama

CCM tusiruhusu majina matatu Urais, sio utamaduni wa Chama

SSH2025_2030

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2012
Posts
9,661
Reaction score
9,753
Ili kutunza Amani yetu ni vizuri likabaki jina moja tu.

NB: Mboe aende CHAUMWA apitishwe chap kuwa mgombea Urais kuzuga wapiga Kura na wafadhili.
 
Ili kutunza Amani yetu ni vizuri likabaki jina moja tu.

NB: Mboe aende CHAUMWA apitishwe chap kuwa mgombea Urais kuzuga wapiga Kura na wafadhili.
Huo mpango wa Mama na Mbowe umebumburuka! Watabaki na aibu tu. Heri watubu na kuacha mawazo mabaya ya uchaguzi wa mabavu. Waacheni Wananchi wachague viongozi wanaowataka.
 
Ili kutunza Amani yetu ni vizuri likabaki jina moja tu.

NB: Mboe aende CHAUMWA apitishwe chap kuwa mgombea Urais kuzuga wapiga Kura na wafadhili.
Na huu ndo mpango wetu, ili isionekane tumekiuka saaana.
 
Hivi moderators hakuna namna mkawa mnazuia walevi kuandika mada humu?
 
Ili kutunza Amani yetu ni vizuri likabaki jina moja tu.

NB: Mboe aende CHAUMWA apitishwe chap kuwa mgombea Urais kuzuga wapiga Kura na wafadhili.
Tunaanza upya mchakato. Jina moja halikubaliki. Siyo demokrasia wala udamaduni weti CCM. Kila baada ya miaka 10 majina lazima yawe ya kutosha. Mara ya mwisho kuwa na majina mengi ilikuwa 2015 na sasa ni mwaka wa 10. Mama anaogopa nini kuwa miongoni mwa majina mengi. Kama ni YEYE basi atakuwa YEYE.
 
Tunaanza upya mchakato. Jina moja halikubaliki. Siyo demokrasia wala udamaduni weti CCM. Kila baada ya miaka 10 majina lazima yawe ya kutosha. Mara ya mwisho kuwa na majina mengi ilikuwa 2015 na sasa ni mwaka wa 10. Mama anaogopa nini kuwa miongoni mwa majina mengi. Kama ni YEYE basi atakuwa YEYE.
Usitupelekeshe
 
Back
Top Bottom