CCM tuna hali mbaya sana, inasikitisha kweli!

CCM tuna hali mbaya sana, inasikitisha kweli!

iArmaniAdamson

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2015
Posts
944
Reaction score
289
Kwanza nianze kwa kusema, nimesikitishwa na kukosekana kwa watu makini wa kujaza nafasi sita zilizobaki kwenye wizara muhimu katika baraza hili la mawaziri.

Nina amini kabisa hata wengine wanaweza kukubaliana na mimi kwamba Rais Magufuli ni mtu makini kwenye kazi yake na kutopitishwa kwa watu kama Membe, Nyalandu, Asha Migiro, Tibaijuka, Chenge, Kagasheki ni kuonyesha kwamba kwa kiasi kikubwa ufanisi na 'makandokando' hayana nafasi kwenye serikali ya JPM.

Ila pia kurudi kwa watu kama Makamba na Muhongo ni kudhihirisha sio kila anayelaumiwa na kusemwa, "hafai", na ukweli daima husimama baadaye.

MSHITUKO mkubwa niliopata ni hasa kuhusiana na kukosekana kwa watu KAMILI 34 kwenye baraza la mawaziri hasa kwenye wizara muhimu sana ILHALI CCM tuna wabunge 277+... Mimi nimesikitika sana kwamba wana CCM hasa wateuliwa hawana uzoefu au weledi wa kujumlishwa kwenye kuongoza taifa to the extend that Rais ilibidi atoke nje ya wabunge wa CCM wateule kwenda kutafuta walioko nje ili waje kujazia.

Kwa kipindi kirefu niliamini kwamba walioweka CCM dosari ni watu wachache wasiozidi 20 (hasa wale waliokuwa kwenye uongozi hivi karibuni), sikujua tatizo ni kubwa sana kiasi hiki kama alivyotuonyesha Rais Magufuli.

Watu wote 277+ hata wale wasiofahamika hawafai? Hali ni mbaya ndani ya CCM.

SIKUJUA KAMA HALI NI MBAYA KIASI HIKI.
 
Mkuu nimependa analysis yako ni swali zuri sana kujiuliza. Nadhani itatoa fundisho kubea sana
 
Kauli ya mkongwe wa siasa Kingunge Ngombale Mwiru kuwa CCM imeishiwa pumzi ya kuendelea kutawala, sasa ndiyo inajidhihirisha ukweli wake.
Hivi inawezekanaje chama kinachotamba kuwa kina wanachama 6m plus nchi nzima halafu leo Rais Magufuli ashindwe kupick katika Umati huo, kupata 4 tu ambao ni qualified wa kuziba nafasi hizo za baraza la mawaziri ambazo hadi sasa zinaendelea kubakia vacant??!!!!
 
Siamini kuwa ameshindwa kuwapata, ninachoona anataka muendelee kusubiria kama makinda ya ndege kana kwamba hao mawaziri watakuwa na jipya lolote.
Kwa upande wa magufuli, hiyo itamfanya aendelee kuwa kwenye midomo yenu na kwenye vyombo vya habari (vya mijini) angalau hadi bunge litakapoanza.
 
Maji marefu darasa la nne, Deo Sanga la pili, Musukuma la saba, Jumanne Kishimba la saba, Njalu Silanga la nne sasa unategemea rais apate wapi mawaziri kama nyie CCM mlikataa wazo la Warioba kuwa mbunge walau aanze na digrii moja

Maji marefu apewe maliasili, musukuma anafaa sana uchukuzi, miundombinu. Kishimba apate Nchi za nje, nk.
 
Kwanza nianze kwa kusema, nimesikitishwa na kukosekana kwa watu makini wa kujaza nafasi sita zilizobaki kwenye wizara muhimu katika baraza hili la mawaziri.

Nina amini kabisa hata wengine wanaweza kukubaliana na mimi kwamba Raisi Magufuli ni mtu makini kwenye kazi yake na kutopitishwa kwa watu kama Membe, Nyalandu, Asha Migiro, Tibaijuka, Chenge, Kagasheki ni kuonyesha kwamba kwa kiasi kikubwa ufanisi na 'makandokando' hayana nafasi kwenye serikali ya JPM.

Ila pia kurudi kwa watu kama Makamba na Muhongo ni kudhihirisha sio kila anayelaumiwa na kusemwa, "hafai", na ukweli daima usimama baadaye.

MSHITUKO mkubwa niliopata ni hasa kuhusiana na kukosekana kwa watu KAMILI 34 kwenye baraza la mawaziri hasa kwenye wizara muhimu sana ILHALI ccm tuna wabunge 277+... Mimi nimesikitika sana kwamba wana ccm hasa wateuliwa hawana uzoefu au weledi wa kujumlishwa kwenye kuongoza taifa to the extend that Raisi ilibidi atoke nje ya wabunge wa ccm wateule kwenda kutafuta walioko nje ili waje kujazia.

Kwa kipindi kirefu niliamini kwamba walioweka CCM dosari ni watu wachache wasiozidi 20 (hasa wale waliokuwa kwenye uongozi hivi karibuni), sikujua tatizo ni kubwa sana kiasi hiki kama alivyotuonyesha Raisi Magufuli.

Watu wote 277+ hata wale wasiofahamika hawafai? Hali ni mbaya ndani ya CCM.

SIKUJUA KAMA HALI NI MBAYA KIASI HIKI.

Faizafoxy, simiyu kwetu, nyani ngabu, ccm 2015, et al mje mtokwe povu.....6million ccm members wametepeta???
 
Wengi wao ni wanafiki.....wahujumu uchumi na wasio na mapenzi mema na Nchi zaidi ya matumbo yao....nahisi anajua kwa kasi yake wengi watamrudisha nyuma ndo maana kawapiga chini kaamua kuteua sura mpya
 
Kwanza nianze kwa kusema, nimesikitishwa na kukosekana kwa watu makini wa kujaza nafasi sita zilizobaki kwenye wizara muhimu katika baraza hili la mawaziri.

Nina amini kabisa hata wengine wanaweza kukubaliana na mimi kwamba Raisi Magufuli ni mtu makini kwenye kazi yake na kutopitishwa kwa watu kama Membe, Nyalandu, Asha Migiro, Tibaijuka, Chenge, Kagasheki ni kuonyesha kwamba kwa kiasi kikubwa ufanisi na 'makandokando' hayana nafasi kwenye serikali ya JPM.

Ila pia kurudi kwa watu kama Makamba na Muhongo ni kudhihirisha sio kila anayelaumiwa na kusemwa, "hafai", na ukweli daima usimama baadaye.

MSHITUKO mkubwa niliopata ni hasa kuhusiana na kukosekana kwa watu KAMILI 34 kwenye baraza la mawaziri hasa kwenye wizara muhimu sana ILHALI ccm tuna wabunge 277+... Mimi nimesikitika sana kwamba wana ccm hasa wateuliwa hawana uzoefu au weledi wa kujumlishwa kwenye kuongoza taifa to the extend that Raisi ilibidi atoke nje ya wabunge wa ccm wateule kwenda kutafuta walioko nje ili waje kujazia.

Kwa kipindi kirefu niliamini kwamba walioweka CCM dosari ni watu wachache wasiozidi 20 (hasa wale waliokuwa kwenye uongozi hivi karibuni), sikujua tatizo ni kubwa sana kiasi hiki kama alivyotuonyesha Raisi Magufuli.

Watu wote 277+ hata wale wasiofahamika hawafai? Hali ni mbaya ndani ya CCM.

SIKUJUA KAMA HALI NI MBAYA KIASI HIKI.

Mm niliwaza hvyo pia lkn kuna mda nikajipa jibu kuwa au anasubiri watu wa Zanzibar wafanye uchaguzi ndio awape uwaziri lkn bado na sita kidogo hapo.
Mfumo ungeruhusu angechagua nje ya chama chake but haiwezekani.
 
Ninafikiri yafuatayo kuhusu Mawaziri waliobakia;1.JPM tayari ana wateule anaoamini watapondwa sana hivyo anavuta muda na pumzi.Akiwataja tu wanaanza kazi 2.Anasoma upepo wa Watz walivyopokea uteuzi wake ikibidi awa supprise baada ya kusema na kutoa maoni yao
 
Maji marefu darasa la nne, Deo Sanga la pili, Musukuma la saba, Jumanne Kishimba la saba, Njalu Silanga la nne sasa unategemea rais apate wapi mawaziri kama nyie CCM mlikataa wazo la Warioba kuwa mbunge walau aanze na digrii moja

Wizara chache.watu hakuna,zingekua nying km za.JK
 
Pole mkuu.
Siunajua hata ushindi wenyewe ilibidi mtie watu pingu I'll wasijumlishe matokeo?
 
Mi nafikiri anataka aziweke sawa yeye mwenyewe zilizobak kabla hajamkabizi mtu,anahofia itaonekana anawaingilia.
 
Mi nafikiri anataka aziweke sawa yeye mwenyewe zilizobak kabla hajamkabizi mtu,anahofia itaonekana anawaingilia.
 
Maji marefu darasa la nne, Deo Sanga la pili, Musukuma la saba, Jumanne Kishimba la saba, Njalu Silanga la nne sasa unategemea rais apate wapi mawaziri kama nyie CCM mlikataa wazo la Warioba kuwa mbunge walau aanze na digrii moja
Lusinde aliishia la nne, Lubeleje la saba, jairo la saba...................................waliobakia ni mafisadi papa tibaijuka, chenge, etc
 
Ashumpta mshana huyu mama ni kichwaa sana sijui kwann ameachwa kuna lusinde huyu jamaa naye ni mtaalam sana kuna prof maji marefu huyu jamaa angefaa sana wizara ya afya kuna murad sadiq na aziz abood hawa wangefaa sana wizara ya uchukuzi kuna dahh list ni ndefu sanaaa
 
Muheshimiwa rais kadhibitisha kuwa wabunge 🚍 zaidi ya 250 wa ccm Ni mabun'gunda hata akatamani kuazima vichwa Kama Lipumba .....wizara 15 kukosa mawaziri wa nne ni tusi kwa wabunge wote wa ccm ......na Nina Imani Hizo nafasi nne JPM anaona bora ateue watu nje ya wabunge wazijaze
 
Maji marefu darasa la nne, Deo Sanga la pili, Musukuma la saba, Jumanne Kishimba la saba, Njalu Silanga la nne sasa unategemea rais apate wapi mawaziri kama nyie CCM mlikataa wazo la Warioba kuwa mbunge walau aanze na digrii moja

Nadhani tuanze kichama, tusiteuwe watu kwasababu ya mdomo mrefu, shule kwanza alafu ndio unagombea

Tuwe kama timu ya mpira ya Ufaransa sio ya Uingereza.

Talent lazima uwe backed up na elimu.
 
Back
Top Bottom