CCM tuna hali mbaya sana, inasikitisha kweli!

CCM tuna hali mbaya sana, inasikitisha kweli!

CHADEMA :Onesmo Nangole darasa la 7,Sugu la 7,Lema form 2,Mbowe kapata div '0' form 6,Kubenea ni kanjanja,Kalanga ni la 7,Jafari Michael hivyo hivyo

Mwenzio akianguka nawe ukmwonea huruma na kujiangusha, haya ndo matokeo yake. ahauyo kaandoka madudu yake nawe unaiga kwa kuandika yako, sasa sisi tunaojua hali zao na sisi tjiangushe kwa kuwaonea huruma??????????????????????????????????????????????????? Jieshimu uheshimiwe.
 
Umemsahau La Kairo Yule Wa Rorya,nasikia Alikomea Chekechea Enzi Hizo Ikiitwa Vidudu,akalala Mbele!!

Mkuu huyu ni mbunge wangu chonde x2 usimdhalilishe. Kwa biashara anazomiliki kwa ufanisi nadhani anafaa WIZARA YA MIPANGO NA FEDHA
 
Hapo nadhani ndio kuna tatizo kubwa sana. Ni kama wengi ndani ya CCM hawathamini elimu na wenye elimu inabidi Raisi awatoe kutoka nje ya Bunge maana ndani walishanyimwa kuwa viongozi.

Hongera mkuu kwa kulitambua hili,. Ni kama kizazi cha panya vile, HAKIBADILIKI, hata kilipopata nafasi ya kuishi na binadam kinyemela kimebaki kua kizazi cha panya tu. JPM ana kazi yaziada hasa,
 
kishmba hakusoma hata darasa moja believe me,mwingine ni stdVII leaver ni Lameck Airo

Jamani hata mie na MAGAMBA mbalimbali lakini wana Rorya wanadai wamewahi kuwachagua kina Professor Sarungi, Mwanasheria maarufu Marando na msomi maarufu wa enzi hizo Oyombe Ayila lakini waliishia kutelekezwa na majamaa(wabunge) na kuishia Dar. Sasa huyu wanadai hata asipopata post ya Rais anawafaa kwani haipiti wiki yupo nao hasa kwenye tatizo lao sugu la UWIZI WA MIFUGO
 
Faizafoxy, simiyu kwetu, nyani ngabu, ccm 2015, et al mje mtokwe povu.....6million ccm members wametepeta???

6m member kwani wote ni wabunge....au katiba imebadilishwa mawaziri wanachaguliwa nje ya wabunge?
 
Inabidi tuanze na KATIBA mpya ya warioba nda tume itapata mwanya wa kuwa huru na vyombo vingine kama takukukuru

Ninachokiona Viongozi au watawala wetu ni waoga sana wa kukataa maovu.Haiwezekani waziri ukatae kulinda mwovu sababu tu ya kunyimwa ubunge au uwaziri ni aibu kubwa.
 
Hongera mkuu kwa kulitambua hili,. Ni kama kizazi cha panya vile, HAKIBADILIKI, hata kilipopata nafasi ya kuishi na binadam kinyemela kimebaki kua kizazi cha panya tu. JPM ana kazi yaziada hasa,

itabidi tujibadilishe kwa nguvu, kuna scope hiyo kwahiyo tujipange, tupeleke watu shule, maana kama tunataka kuendelea kuongoza, itafikia wakati hatuna wa kumteua kuongoza.
 
Nia ya CCM iikuwa ni kupata watu wengi bungeni kwa akili ya kujibu Ndiyooooo! Habari ya uongoza watanzania haipo. Unategemea kwenye kundi hilo atoke waziri! Thubutu.Ujinga ndiyo silaha ya ccm.

kama ni kweli, tumepitisha wabunge goigoi na kumchagua Raisi makini, tumejifunga. hiyo ni kama nilivyosema strategy ya kukata tawi ulilokalia.
 
itabidi tujibadilishe kwa nguvu, kuna scope hiyo kwahiyo tujipange, tupeleke watu shule, maana kama tunataka kuendelea kuongoza, itafikia wakati hatuna wa kumteua kuongoza.

Hapa nina wasiwasi japo najua umuhimu wa elimu, hawajamaa nahisi hawataki watu wasome ili waendele kuwatawala wanavyotaka, kwa vijizawadi zawadi wakati wa kampeni na ahadi amabzo hazimwingii msomi yoyote laba aliyegushi vyeti.
 
Hapa nina wasiwasi japo najua umuhimu wa elimu, hawajamaa nahisi hawataki watu wasome ili waendele kuwatawala wanavyotaka, kwa vijizawadi zawadi wakati wa kampeni na ahadi amabzo hazimwingii msomi yoyote laba aliyegushi vyeti.

nachofahamu makabila mengi kwenye ngome za CCM hawathamini elimu, na watu wa maneno mengi. kwa kifupi nawaita 'salesmen' ila shule hakuna.
 
Back
Top Bottom