Matamko ya juzi yameitenga kabisa Tanzania na Dunia
Imefika hatua mpaka waafrica wenzetu ( Ghana ) wanatoa tamko kuhusu hali ya Tanzania, na sasa kidogo kidogo tumeenza kukataliwa nje ya Africa.
Tukichelewa, tunaweza fika 2026 na jeraha ambalo litakua gumu au litachukua gharama kubwa kutibika.
Kwa sasa sio mfumo tena ni mtu, na tukiruhusu aendelee kutuchimbia hili kaburi, mwisho wa siku watanzania wote sio CCM wala Chadema, Wakristo au Waislam tutazikwa wote
Chukueni hatua
Imefika hatua mpaka waafrica wenzetu ( Ghana ) wanatoa tamko kuhusu hali ya Tanzania, na sasa kidogo kidogo tumeenza kukataliwa nje ya Africa.
Tukichelewa, tunaweza fika 2026 na jeraha ambalo litakua gumu au litachukua gharama kubwa kutibika.
Kwa sasa sio mfumo tena ni mtu, na tukiruhusu aendelee kutuchimbia hili kaburi, mwisho wa siku watanzania wote sio CCM wala Chadema, Wakristo au Waislam tutazikwa wote
Chukueni hatua