CCM tumefikaje hapa tulipo?

CCM tumefikaje hapa tulipo?

Wills

agostino ramadhani anayo kundi na kundi lake ni membe na ndiye aliyetoa hukumu kesi ile ya walibya

cheki na jamaa wa pale st peter watakupa kila kitu mpaka transactions za pesa


jiulize ile kesi ilichukua miaka mingapi na yeye agostino alichukua muda gani na aliamua vipi?

Huyu ndio le mutuz ninayemkumbuka mimi. Hamumunyi wala haogopi.

Binafsi sioni mtu yeyete msafi na wala asiye na makundi ndani ya ccm. Huo ndio ukweli na william kauweka wazi kabisaa. Najua wengine watakuja ku mu attack personally lakini he's a man among jamiiforums boys

men lie women lie but fact based evidence dont lie
 
W. J. Malecela amezingumza ukweli usio na chenga hapa.... Kama mtu ni mtovu wa nidhamu ndani ya chama why tumekaa naye all those days leo ndio tuseme? Kifupi CCM kimepoteza misingi yote ya chama cha mapinduzi tulichokijua those days..... Wengine wanapofukuza wanachama wao walikiuka katiba ya chama tunawaona wamekosea..... Nadhani huyu mtoa mada ajiandae tu kushambuliwa sana ndani ya chama. Uzi huu sijawaona kina Lizaboni, Ritz, and the like....
 
Last edited by a moderator:
- Sio siri kwamba katika mchakato wa Wagombea Urais 42 wa CCM ulioisha hivi karibuni ni Wagombea 3 walio onyesha kukubalika zaidi na wana CCM wengine wa kwanza ni Lowassa, Membe na Mwigulu hili wala halina mjadala ni FACT na ni the TRUTH ya what we all saw with our eyes kutokana na Mikutano yao ya kutangaza nia mpaka mapokezi yao kila walipokwenda kutafuta Wadhamini. Now in a very serious tone kama Uchaguzi ungekuwa based na walipofikia so far Lowasa is a clear winner, it does not matter kama nampenda au simpendi na it does not matter kama namuunga mkono au simuungi mkono but this is a FACT ambayo Wananchi wote tumejionea kwa macho yetu.

- Now, ninasikitika sana kuona kwamba Tanzania tumefikia mahali kwamba huwezi kusema maneno kama yangu bila kutafuta uadui na watu na bila kuzushiwa majungu, na hivi karibuni nimeona Viongozi wengi wakuu wa CCM Taifa wakihaha kwenye majukwaa na hoja moja very interesting kwamba Kuna wagombea Urais ambao hawana maadili yanayokubalika na Chama hicho kukiwakilisha kwenye kugombea Urais kwa hiyo majina yao yatakatwa. Kinachonishangaza ni the fact kwamba hakuna mtu anayewahoji wala kuwauliza exactly what are they trying to tell us?

- Kwamba CCM inajua kwamba ina Viongozi wake wengi wakuu ambao hawana maadili ya kukidhi uongozi wa kitaifa wa Chama hicho lakini haijawahi kuwaadhibu wala kuwafukuza Chama hicho, now leo wanagombea nafasi ya kukiwakilisha chama hicho kwenye urais ndio CCM inaamka na kuanza kulalamika kwa Wananchi kwamba baadhi ya waliochukua fomu zao hawafai kwa sababu hawana maadili ya CCM? Na Wananchi mpaka Media imenyamaza kimya as if this theory is a perfect politics? REALLY?

- I mean kugombea Urais inatakiwa kuwa the simplest thing kwenye Taifa lolote linalofuata misingi ya KISHERIA na DEMOKRASIA binafsi nimebahatika kuishi kwenye Demokrasia ya kweli kwa miaka 30, now ninaambiwa na hapa Tanzania tunaishi kwa Demokrasia ile ile niliyoiona kwenye Demokrasia ya kweli, ninapata taabu sana kuelewa is it that there is something I am missing au ni Demokrasia tofauti, maana mtu una mke wako unaishi naye unakuja mtaani kulalamika kwamba hafai lakini the next thing ana Mimba yako wewe mwenyewe now next time ukisema mke wako hafai ninakusikilizaje? How do I trust anything you say anymore?

- Something is a miss na our Democracy, I am not a Lowasa's Fan but nikisema kama ninvyosema hapa ninakuwa nimepewa pesa na Lowasa na nikisema Membe anafaa zaidi ya Lowasa ninakuwa nimepewa pesa na Membe, halafu ni a serious uadui I mean what Democracy is this? Wananchi wote tumeona jinsi Lowasa anavyojaza Wananchi kwenye mbio zake za kutafuta Urais ni FACT now here comes other theories kwamba sitakiwi kusema hivi kwa sababu Lowasa anawanunua hawa wananchi, jamani how do I say that bila FACTS? Binafsi nimehusika sana kuisaidia Kamati ya Richmond nikiwa ninaishi nje tena kupitia hapa hapa JF ni kwa sababu I knew beter, nilikuwa ninajua kwamba Richmond hawakuwa na Ofisi Texas na iliyokuwepo ilikuwa ni ofisi ya magazeti sio Kampuni ya Umeme, so for that matter nilikuwa ninapigana nikiwa na FACTS and EVIDENCE. Now do I have evidence kwamba Lowasa amewanunua wote wanaomshabikia NO, je hao Wakuu wa CCM wanazo FACTS and EVIDENCE? Great watuwekee wazi tuzione ili watuwazima wenye akili timamua tuzichambue tuone ukweli, kwenye kesi ya Richmond tuliweka FACTS and EVIDENCE from here JF ambazo zilipelekea Lowasa mwenyewe kushindwa kupigana nazo mpaka akajiondoa Uwaziri Mkuu.

- Now my point here is CCM please tuonyesheni FACTS and EVIDENCE in the public kuhusu wale wote wanaonunua support kwenye huu urais na kama Lowassa ananunua Support pia tuwekeeni kama ilivyokuwa kwenye Richmond, ingawa CCM must get its acts together baada ya huu uchaguzi, ninajua for a FACT kwamba Rais wa sasa ametumia muda mwingi sana kushindana na maadui wake ndani ya CCM ambao hawakutaka awe Rais kutokana na tabia za CCM za kutokuwa wawazi mapema kabla ya uchaguzi wa Rais. Sasa hivi wananchi tunataka kutoana macho kisa wagombea na cha kusikitisha ni kwamba hatugombani kwa sababu ya record zao za kazi kwa Taifa hapana tunagombana kwa sababu tu ya kutofautiana kambi za Wagombea, matokeo yake kuna mpaka theories kwamba Jaji Ramadhani ndiye anayefaa maana hana makundi now ninajiuliza ni Mwanasiasa gani wa kweli Duniani ambaye hana kundi la wafuasi wake wanaomuunga mkono? Binafsi nimemsikia Jaji Ramadhani kwa mara ya kwanza alipochukua fomu tu sijawahi kusikia ameshika nafasi yoyote ya CCM kama chama ila sifa yake kubwa ambayo inaweza kuishia kumpa ushindi wa Urais CCM ni kwamba hafahamiki na hana makundi..hahahaha jamani kweli only in Tanzania.

- Wa-Tanzania tubadilike jamani Demokrasia is a good thing sio uadui na vita na unazi kama wa Yanga na Simba, hapa tunaongelea hatma ya Taifa, CCM must do something now ili mbele ya safari tuachane na mambo ya ubishi wa Yanga na Simba Wagombea wanachukua fomu za Urais ukweli unakuwa wazi based on their records za uongozi kama kuna Kiongozi wa CCM amekiuka maadili aadhibiwe au aufukuzwe Chama mapema na wananchi tujue sio kutufikisha kwenye this kind of tensions na uadui wa binafsi badala ya kupigania maendeleo ya Taifa kwanza. Tatatizo la CCM ni Process sio Wagombea, fix the process now please!!

MUNGU AIBARIKI TANZANIA

Le Mutuz Nation

Le Mutuz...CCM ummefika hapo kwa sababu zifuatazo
1. Kulindana
2. Unafiki
3. Kulea Rushwa ndani ya ccm na serikalini
4. Kuoneana haya
5. Kutofuata taratibu na Sheria zilizopo
6. Kudhani CCM ndo Tanzania
7. Majivuno
 
kusema kweli mie always huwa namuona Le matuz ni mtu wa blah blah ILA leo amekuja na facts tupu kuhusu ccm. Bwana Le matuz siku zote uongo hutumia lift kwenda juu ILA ukweli hutumia ngazi lakini hufika japo huchelewa.Dhambi hii ya kutokuwa wakweli ndio inawatafuna hawa jamaa.
 
Na kama wanataka kutuambia Lowasa sio msafi watuambie yafuatayo;


  1. Nani waligawana zile fedha za stanbick (escraw)
  2. Simba Trust ambayo ni mbia wa PAP ni ya nani
 
Le Mutuz...CCM ummefika hapo kwa sababu zifuatazo
1. Kulindana
2. Unafiki
3. Kulea Rushwa ndani ya ccm na serikalini
4. Kuoneana haya
5. Kutofuata taratibu na Sheria zilizopo
6. Kudhani CCM ndo Tanzania
7. Majivuno

8. Nepotism

Halafu mtu ni/alikuwa kiongozi anazunguka huku na huko kwa kodi zetu leo aje na nyimbo. . . . anajiuliza na ku "theorize on obvious". . . . . . .kwa nini??!!!!
 
Inawezekana kesha nusa nusa toka dom kuwa lowasa tayari kapitishwa si unajua mzee ni kigogo?
Huyu mzee wake ime ripotiwa kalazwa hospitali kule kwa Malikia so sidhani kama hata anajua kinacho endelea kwenye vikao vya chama chake; tumwombee tu mzee apone haraka.
 
kusema kweli mie always huwa namuona Le matuz ni mtu wa blah blah ILA leo amekuja na facts tupu kuhusu ccm. Bwana Le matuz siku zote uongo hutumia lift kwenda juu ILA ukweli hutumia ngazi lakini hufika japo huchelewa.Dhambi hii ya kutokuwa wakweli ndio inawatafuna hawa jamaa.

Wewe ni sample ya ubongo wa Watanzania wengi ulivyo dhaifu kwa kughiribiwa na porojo za Le Mutuz.

Mtu anayekula matapishi yake ni wa kuogopa kama ukoma hiki ni kipindi ni cha maopotunist kuanza kujipendekeza.

Kila mtu atakushangaa leo hii mtu kama Nape na Makonda waanze kumsifia Lowasa halafu eti uwasapoti Fact na Evidence ni kwamba Le Mutuz ameshausoma mchezo na ni very clear Lowasa ameshaiteka Ccm na Le Mutuz ni mmoja wa mateka aliyeamuwa kujisalimisha mapema ili akumbukwe hata Udc, Membe alishashindwa mchakato huu hata kabla hajachukuwa fomu.
 
Wewe una usomi gani? Mjinga kabisa wewe, watu wa mikoani mna matatizo sana, hivi hili jina la Malecela limekutoa akili kabisa!! Hopeless kabisa.


Kiongozi, hivi umeshawahi kuwa na argument bila kuwa vulgar? Manake sijawahi kukusoma ukachangia hoja kwa points hata siku moja. You ought to change your attitude katika hili, seriously..
 
Le mutuz waliotumwa kumshawishi jaji Ramadhani ni pamoja baba yako mzee Malecela, ambaye ni rafiki yake pia. FYI kundi la jaji yumo pia dada yako Dr Mwele ambaye baadae atagombea ubunge Mtera na huyo ndiye waziri wa Afya ajaye. So le mutuz kuwa mpole ukipata hata uofisa utamaduni wa wilaya si haba ila huko unakokimbilia siko!
 
Kiongozi, hivi umeshawahi kuwa na argument bila kuwa vulgar? Manake sijawahi kukusoma ukachangia hoja kwa points hata siku moja. You ought to change your attitude katika hili, seriously..
Achana naye kama Le Mutus ameanza kurejesha akili zake na Matola soon atarejea. Wakati mwingine tatizo ni kuvaa viatu ambavyo ni vikubwa unaishia kutafuta cheap popularity ya kitoto- nadhani unanipata
 
-
- Kwamba CCM inajua kwamba ina Viongozi wake wengi wakuu ambao hawana maadili ya kukidhi uongozi wa kitaifa wa Chama hicho lakini haijawahi kuwaadhibu wala kuwafukuza Chama hicho, now leo wanagombea nafasi ya kukiwakilisha chama hicho kwenye urais ndio CCM inaamka na kuanza kulalamika kwa Wananchi kwamba baadhi ya waliochukua fomu zao hawafai kwa sababu hawana maadili ya CCM? Na Wananchi mpaka Media imenyamaza kimya as if this theory is a perfect politics? REALLY?
Hiyo ndiyo style ya uongozi wa JK ambaye wewe mwenyewe unamsifia, kwani aliposema wala rushwa nawajua, waache vinginevyo nitawachukulia hatua, alichukua hatua gani? Vivyo hivyo kwa wauza madawa ya kulevya, na mafisadi pia. Kwa hiyo aina ya rais tuliyekuwa naye ambaye pia ndiye mwenyekiti wa ccm unayoilalamikia ingawa unazidi kuitumikia, ndiyo imetufikisha hapo!
Sasa umeshakua ndiyo mfumo wa uongozi 'sema halafu usichukue hatua hadi muda wako wa ungozi unaisha - unapata pensheni yako na kula bata'. Na hii ndiyo sababu kila mtu anaona kuwa anaweza kuwa rais ! DAWA YAKE NINI?
 
Le Mutuz amesema ukweli mtupu ila kuna watu hapa hawako tayari kujadili facts wanaendekeza matusi na ushabiki. Iweje mtu ambaye mwenyekiti wa chama alisema "ALIPATA AJALI YA KISIASA" leo wanasema ni mwizi? Mbona hawakulikata jina lake alipoomba kugombea ubunge 2010? Mbona hawajawahi hata kumhoji katika kamati ya maadili? Mbona hawakumfungulia kesi ikiwa wanamfahamu ni mwizi? Jibu ni moja tu hapa WOTE NI WEZI Ila wanachofanya sasa hivi ni chuki binafsi zinazotokana na makundi yao FULL STOP.
 
Le mutuz waliotumwa kumshawishi jaji Ramadhani ni pamoja baba yako mzee Malecela, ambaye ni rafiki yake pia. FYI kundi la jaji yumo pia dada yako Dr Mwele ambaye baadae atagombea ubunge Mtera na huyo ndiye waziri wa Afya ajaye. So le mutuz kuwa mpole ukipata hata uofisa utamaduni wa wilaya si haba ila huko unakokimbilia siko!

Aisee kumbe Dr. Mwele anakwenda kugombea jimbo la Kibajaj la Mtera na kwamba Mwele ndiye future Minister for MoHSW?

Kwahiyo kuchukua kote fomu ya Urais wa JMT ni geresha?! Mimi nilikuwa nafikiri labda Dr. Mwele ndiyo Mgombea Mwenza wa Judge Augustine Ramadhani!
 
Le Mutuz amesema ukweli mtupu ila kuna watu hapa hawako tayari kujadili facts wanaendekeza matusi na ushabiki. Iweje mtu ambaye mwenyekiti wa chama alisema "ALIPATA AJALI YA KISIASA" leo wanasema ni mwizi? Mbona hawakulikata jina lake alipoomba kugombea ubunge 2010? Mbona hawajawahi hata kumhoji katika kamati ya maadili? Mbona hawakumfungulia kesi ikiwa wanamfahamu ni mwizi? Jibu ni moja tu hapa WOTE NI WEZI Ila wanachofanya sasa hivi ni chuki binafsi zinazotokana na makundi yao FULL STOP.

1. Are you serious ulisubiri hili ili kujua ukweli??!!
2. Ukweli hupoteza maana iwapo anaousema sio mkweli. . . . .na ndio hapo utata unaanzia. . . ."wanahubiri amani huku wameficha mapanga". . . . .lakini pia time ya kuusema huo ukweli ni muhimu kuzingatia

Hebu muulize frankly yeye ana ndugu wangapi huko chamani na nafasi zao. . . .halafu kama atakupa FACTS and EVIDENCES neno "ushabiki" utakuwa umelitumia sahihi. . . . .
 
ccm mtajibeba mwaka, hata hamjui mmfika hapa. mmefika hapa kwa ufisadi, unashanga nini?
 
Back
Top Bottom