CCM tumefikaje hapa tulipo?

CCM tumefikaje hapa tulipo?

wow! kwa aina ya mashambulizi anayopewa W.J.Malecela nina wasiwasi wagomvi wake ama hajaelewa alichosema au wako addicted/obsessed na kupinga kila anachosema le mutuz!
 
wow! kwa aina ya mashambulizi anayopewa W.J.Malecela nina wasiwasi wagomvi wake ama hajaelewa alichosema au wako addicted/obsessed na kupinga kila anachosema le mutuz!

Hivi kuna ugomvi pia??!!
Change inaweza kutokea ndani au nje ila agent wa kufanya mabadiliko kutokea ndani hawezi kuwa mtoa hoja sababu mfumo huu unamnufaisha sio kweli kuwa anataka mabadiliko ila kuna linalomsukuma na sio jambo la kudumu, hawezi kutaka kukata tawi alilokalia mkuu. . . . .

Hizi nyimbo kipindik hiki sio sawa. . . . .
 
- Binafsi nimemsikia Jaji Ramadhani kwa mara ya kwanza alipochukua fomu tu sijawahi kusikia ameshika nafasi yoyote ya CCM kama chama ila sifa yake kubwa ambayo inaweza kuishia kumpa ushindi wa Urais CCM ni kwamba hafahamiki na hana makundi..hahahaha jamani kweli only in Tanzania....

William, fanya haraka uupenyeze ujumbe huu kwa CC ya Chama chenu maana inasemekana wanataka kufanya hiki ulichokiandika hapa ''ili kuua makundi'' ya Lowassa, Membe na Mwandosya.
 
Le Mutuz mbona mnapenda kuzunguka mitaani mkimlalamikia mke wenu CCM ilhali mnamzalisha na kumhudumia mahitaji yake yote...??
Tutawaelewa vizuri mkimpa talaka huyo mke wenu...!!
 
Nimekuelewa sana mkuu,wakina Kikwete wanapiga kelele ndani ya chama.kuna joka lenye ndimi mbili na.hakuna hatua zinazochukuliwa ndani.ya chama,wanasubili kuja na chinja chinja baada ya joka.kudhuru watu...hii sio demokrasia
 
Mods mnafuta coment za watu kwanini, kuna mtu hamjui huyu pathetic lemutuz. ...
 
- Sio siri kwamba katika mchakato wa Wagombea Urais 42 wa CCM ulioisha hivi karibuni ni Wagombea 3 walio onyesha kukubalika zaidi na wana CCM wengine wa kwanza ni Lowassa, Membe na Mwigulu hili wala halina mjadala ni FACT na ni the TRUTH ya what we all saw with our eyes kutokana na Mikutano yao ya kutangaza nia mpaka mapokezi yao kila walipokwenda kutafuta Wadhamini. Now in a very serious tone kama Uchaguzi ungekuwa based na walipofikia so far Lowasa is a clear winner, it does not matter kama nampenda au simpendi na it does not matter kama namuunga mkono au simuungi mkono but this is a FACT ambayo Wananchi wote tumejionea kwa macho yetu.

- Now, ninasikitika sana kuona kwamba Tanzania tumefikia mahali kwamba huwezi kusema maneno kama yangu bila kutafuta uadui na watu na bila kuzushiwa majungu, na hivi karibuni nimeona Viongozi wengi wakuu wa CCM Taifa wakihaha kwenye majukwaa na hoja moja very interesting kwamba Kuna wagombea Urais ambao hawana maadili yanayokubalika na Chama hicho kukiwakilisha kwenye kugombea Urais kwa hiyo majina yao yatakatwa. Kinachonishangaza ni the fact kwamba hakuna mtu anayewahoji wala kuwauliza exactly what are they trying to tell us?

- Kwamba CCM inajua kwamba ina Viongozi wake wengi wakuu ambao hawana maadili ya kukidhi uongozi wa kitaifa wa Chama hicho lakini haijawahi kuwaadhibu wala kuwafukuza Chama hicho, now leo wanagombea nafasi ya kukiwakilisha chama hicho kwenye urais ndio CCM inaamka na kuanza kulalamika kwa Wananchi kwamba baadhi ya waliochukua fomu zao hawafai kwa sababu hawana maadili ya CCM? Na Wananchi mpaka Media imenyamaza kimya as if this theory is a perfect politics? REALLY?

- I mean kugombea Urais inatakiwa kuwa the simplest thing kwenye Taifa lolote linalofuata misingi ya KISHERIA na DEMOKRASIA binafsi nimebahatika kuishi kwenye Demokrasia ya kweli kwa miaka 30, now ninaambiwa na hapa Tanzania tunaishi kwa Demokrasia ile ile niliyoiona kwenye Demokrasia ya kweli, ninapata taabu sana kuelewa is it that there is something I am missing au ni Demokrasia tofauti, maana mtu una mke wako unaishi naye unakuja mtaani kulalamika kwamba hafai lakini the next thing ana Mimba yako wewe mwenyewe now next time ukisema mke wako hafai ninakusikilizaje? How do I trust anything you say anymore?

- Something is a miss na our Democracy, I am not a Lowasa's Fan but nikisema kama ninvyosema hapa ninakuwa nimepewa pesa na Lowasa na nikisema Membe anafaa zaidi ya Lowasa ninakuwa nimepewa pesa na Membe, halafu ni a serious uadui I mean what Democracy is this? Wananchi wote tumeona jinsi Lowasa anavyojaza Wananchi kwenye mbio zake za kutafuta Urais ni FACT now here comes other theories kwamba sitakiwi kusema hivi kwa sababu Lowasa anawanunua hawa wananchi, jamani how do I say that bila FACTS? Binafsi nimehusika sana kuisaidia Kamati ya Richmond nikiwa ninaishi nje tena kupitia hapa hapa JF ni kwa sababu I knew beter, nilikuwa ninajua kwamba Richmond hawakuwa na Ofisi Texas na iliyokuwepo ilikuwa ni ofisi ya magazeti sio Kampuni ya Umeme, so for that matter nilikuwa ninapigana nikiwa na FACTS and EVIDENCE. Now do I have evidence kwamba Lowasa amewanunua wote wanaomshabikia NO, je hao Wakuu wa CCM wanazo FACTS and EVIDENCE? Great watuwekee wazi tuzione ili watuwazima wenye akili timamua tuzichambue tuone ukweli, kwenye kesi ya Richmond tuliweka FACTS and EVIDENCE from here JF ambazo zilipelekea Lowasa mwenyewe kushindwa kupigana nazo mpaka akajiondoa Uwaziri Mkuu.

- Now my point here is CCM please tuonyesheni FACTS and EVIDENCE in the public kuhusu wale wote wanaonunua support kwenye huu urais na kama Lowassa ananunua Support pia tuwekeeni kama ilivyokuwa kwenye Richmond, ingawa CCM must get its acts together baada ya huu uchaguzi, ninajua for a FACT kwamba Rais wa sasa ametumia muda mwingi sana kushindana na maadui wake ndani ya CCM ambao hawakutaka awe Rais kutokana na tabia za CCM za kutokuwa wawazi mapema kabla ya uchaguzi wa Rais. Sasa hivi wananchi tunataka kutoana macho kisa wagombea na cha kusikitisha ni kwamba hatugombani kwa sababu ya record zao za kazi kwa Taifa hapana tunagombana kwa sababu tu ya kutofautiana kambi za Wagombea, matokeo yake kuna mpaka theories kwamba Jaji Ramadhani ndiye anayefaa maana hana makundi now ninajiuliza ni Mwanasiasa gani wa kweli Duniani ambaye hana kundi la wafuasi wake wanaomuunga mkono? Binafsi nimemsikia Jaji Ramadhani kwa mara ya kwanza alipochukua fomu tu sijawahi kusikia ameshika nafasi yoyote ya CCM kama chama ila sifa yake kubwa ambayo inaweza kuishia kumpa ushindi wa Urais CCM ni kwamba hafahamiki na hana makundi..hahahaha jamani kweli only in Tanzania.

- Wa-Tanzania tubadilike jamani Demokrasia is a good thing sio uadui na vita na unazi kama wa Yanga na Simba, hapa tunaongelea hatma ya Taifa, CCM must do something now ili mbele ya safari tuachane na mambo ya ubishi wa Yanga na Simba Wagombea wanachukua fomu za Urais ukweli unakuwa wazi based on their records za uongozi kama kuna Kiongozi wa CCM amekiuka maadili aadhibiwe au aufukuzwe Chama mapema na wananchi tujue sio kutufikisha kwenye this kind of tensions na uadui wa binafsi badala ya kupigania maendeleo ya Taifa kwanza. Tatatizo la CCM ni Process sio Wagombea, fix the process now please!!

MUNGU AIBARIKI TANZANIA

Le Mutuz Nation

Hapo kwa mwigulu umekosea let me clear you with Evidence.
View attachment 266584 January makamba mbeya alipokwenda kuomba wadhamini

1436364090530.jpg hapa ni Arusha
 
ntarudi, wacha niende gym kwanza
 
wow! kwa aina ya mashambulizi anayopewa W.J.Malecela nina wasiwasi wagomvi wake ama hajaelewa alichosema au wako addicted/obsessed na kupinga kila anachosema le mutuz!

Mkuu huyu jamaa.anajuwa alichokiandika hapa.reaction za wana jamvi zinamsuta.huoni kakaa kimya.?
 
Hivi kuna ugomvi pia??!!
Change inaweza kutokea ndani au nje ila agent wa kufanya mabadiliko kutokea ndani hawezi kuwa mtoa hoja sababu mfumo huu unamnufaisha sio kweli kuwa anataka mabadiliko ila kuna linalomsukuma na sio jambo la kudumu, hawezi kutaka kukata tawi alilokalia mkuu. . . . .

Hizi nyimbo kipindik hiki sio sawa. . . . .
Sawa iwe vyovyote agenda yake ya moyoni ,unadhani aliyoyasema hayana mantiki?na unafikiri ni busara kumhukumu kama W.J.Malecela au ni vyema tuihukumu hoja aliyoileta jamvini kama mwanajamvi yaani tujifanye kama mtu tusiye mfahamu kabisa kama vile mimi na wewe ambapo mwanzo na mwisho wa kufahamiana kwetu ni hapa tu.
 
- .... maana mtu una mke wako unaishi naye unakuja mtaani kulalamika kwamba hafai lakini the next thing ana Mimba yako wewe mwenyewe now next time ukisema mke wako hafai ninakusikilizaje? ...

Kwani Lowassa ni 'mke' wa nani hapo ccm?
 
Tulia tu mkuu, uvumilivu na amani ndio imetufikisha hapa kwa mujibu wa viongozi. .. . . .so usituharibie amani na utulivu kisa tu leo unataka kuamua lako ndio utake FACTS na EVIDENCE. . . . . .

Yaani nyie watu mna matatizo sana

William anaharibu vibi amani kwa hoja yake hii

Unajua ninyi mijitu ya CCM mnaudhi sana
 
Muda mwingine tupime hata kwa picha 1436365700616.jpg mwigulu akizungumza na wadhamin wake .

UTAKUBALI UKATAE MAPOKEZI YA JANUARY MAKAMBA MWANZA
View attachment 266596

Hapo vipi Dalali kila mahali upo choose ua battle wisely
 
umeongea ukweli mtupu, wangekuwa hawatakiwa ilipaswa hata fomu wasipewe.
 
Wewe una usomi gani? Mjinga kabisa wewe, watu wa mikoani mna matatizo sana, hivi hili jina la Malecela limekutoa akili kabisa!! Hopeless kabisa.
Huyo ni Matola at his level best. Umesomeka, acha jazba kila wakati nakuhusia kujenga hoja si matusi. Hata wewe ipo siku tutakurudisha katika utu uzima baadala ya kujaza utoto kichwani.
 
wow! kwa aina ya mashambulizi anayopewa W.J.Malecela nina wasiwasi wagomvi wake ama hajaelewa alichosema au wako addicted/obsessed na kupinga kila anachosema le mutuz!
Mnyonge mnyongeni lakini hali yake apewe, acha wabwabwaji kama Matola waendelee kubwabwaja tu. Ni vyema tukawa na utamaduni wa kuchambua andiko bila kuwa biased.
 
Demokrasia ya kweli ni ipi!!?? kila demokrasia ni ya kweli, inategemea na mazingira... Ulipokua "unaishi" demokrasia inaruhusu mambo ambayo huku kwetu ni mwiko.... Kule kiongozi akiwa na mchepuko ni scandal, huku ni sawa tu coz sio ishu... So, nadhani chukulia poa tu haya yanayojiri...
 
tumefika apa by escrow, wengine mabehewa feki, wengine majengo pacha, wengine meremeta,, wengine richmond, wengine kiwira makaa ya mawr, wengine kubinsfsishwa. nbc, n. k ila kwa ujumla wote tumefika apa tulipo.
 
CCM Imefika hapa kama matokeo ya mchakato wa miaka mingi ulioanzia Zanzibar pale walipopitisha azimio la kificho la Zanzibar lililohitimisha like za Arusha. Kilichofuata ni historia.
 
siku zote huwa nakuona wewe kama mtu mmoja ambaye hana upeo mzuri wa kufikiri kwa kina. leo napenda kusema kiukweli umeongea mambo ya maana sana. nasema toka moyoni maneno ambayo umeongea yanaonesha umekomaa, umekua, umesoma zaidi ya wasomi wetu hawa wanaochumia tumbo . kama ukisimama kwenye mstari huu kweli nakwambia watu wenye akili na uelewa watakuwa upande wako na wengi watakuunga mkono ktk harakati zako kama ni njema. tumechoka kusikia siasa za chuki,visasi na zisizo na uhalisia. Lowassa amesemwa sana kuhusu Richmond, tumemchukia sana, amechafuliwa sana lakini mtu huyu watu wengi bado wanamkubali sielewi kwa nini....

Najiuliza hizo pesa anazotumia kuwanunulia watu ni tsh ngapi? na kwa nini asikae tu ale pesa zake kama hivyo? lakini kwa nini pia watu waione kuwa ni mchafu kiasi hicho? hebu wananchi wenyewe wahukumu. kweli miaka hii wananchi hawachagui chama....CCM inaweza pata shida sana ikilazimisha watu wake.

sikuwah kumpenda lowassa lakini tukubali tusikubali huyu mtu anafahamika sana na ana watu wanampenda. inawezekana sisi hatumpendi.hebu tuwaachie wananchi mtu wamtakaye halafu baada ya miaka 5 tuseme huyu ndo mlimtaka sasa mmeona? yupo mwingine bora.

wananchi wanataka mabadiliko, wasipoyapata ndani ya CCM watayatafuta kwa vyama pinzani. hawa watu wapewe uwanja sawia wa kushindana....watu waamuliwe kwa kura na busara itumike kusikia watu wanataka nini na kwanini.

Leo kukweli umeongea jambo la maana naanza kuwaza mara mbilimbili kuhusu huu ushabiki wa kutaka mtu flan akatwe....
 
Back
Top Bottom