- Sio siri kwamba katika mchakato wa Wagombea Urais 42 wa CCM ulioisha hivi karibuni ni Wagombea 3 walio onyesha kukubalika zaidi na wana CCM wengine wa kwanza ni Lowassa, Membe na Mwigulu hili wala halina mjadala ni FACT na ni the TRUTH ya what we all saw with our eyes kutokana na Mikutano yao ya kutangaza nia mpaka mapokezi yao kila walipokwenda kutafuta Wadhamini. Now in a very serious tone kama Uchaguzi ungekuwa based na walipofikia so far Lowasa is a clear winner, it does not matter kama nampenda au simpendi na it does not matter kama namuunga mkono au simuungi mkono but this is a FACT ambayo Wananchi wote tumejionea kwa macho yetu.
- Now, ninasikitika sana kuona kwamba Tanzania tumefikia mahali kwamba huwezi kusema maneno kama yangu bila kutafuta uadui na watu na bila kuzushiwa majungu, na hivi karibuni nimeona Viongozi wengi wakuu wa CCM Taifa wakihaha kwenye majukwaa na hoja moja very interesting kwamba Kuna wagombea Urais ambao hawana maadili yanayokubalika na Chama hicho kukiwakilisha kwenye kugombea Urais kwa hiyo majina yao yatakatwa. Kinachonishangaza ni the fact kwamba hakuna mtu anayewahoji wala kuwauliza exactly what are they trying to tell us?
- Kwamba CCM inajua kwamba ina Viongozi wake wengi wakuu ambao hawana maadili ya kukidhi uongozi wa kitaifa wa Chama hicho lakini haijawahi kuwaadhibu wala kuwafukuza Chama hicho, now leo wanagombea nafasi ya kukiwakilisha chama hicho kwenye urais ndio CCM inaamka na kuanza kulalamika kwa Wananchi kwamba baadhi ya waliochukua fomu zao hawafai kwa sababu hawana maadili ya CCM? Na Wananchi mpaka Media imenyamaza kimya as if this theory is a perfect politics? REALLY?
- I mean kugombea Urais inatakiwa kuwa the simplest thing kwenye Taifa lolote linalofuata misingi ya KISHERIA na DEMOKRASIA binafsi nimebahatika kuishi kwenye Demokrasia ya kweli kwa miaka 30, now ninaambiwa na hapa Tanzania tunaishi kwa Demokrasia ile ile niliyoiona kwenye Demokrasia ya kweli, ninapata taabu sana kuelewa is it that there is something I am missing au ni Demokrasia tofauti, maana mtu una mke wako unaishi naye unakuja mtaani kulalamika kwamba hafai lakini the next thing ana Mimba yako wewe mwenyewe now next time ukisema mke wako hafai ninakusikilizaje? How do I trust anything you say anymore?
- Something is a miss na our Democracy, I am not a Lowasa's Fan but nikisema kama ninvyosema hapa ninakuwa nimepewa pesa na Lowasa na nikisema Membe anafaa zaidi ya Lowasa ninakuwa nimepewa pesa na Membe, halafu ni a serious uadui I mean what Democracy is this? Wananchi wote tumeona jinsi Lowasa anavyojaza Wananchi kwenye mbio zake za kutafuta Urais ni FACT now here comes other theories kwamba sitakiwi kusema hivi kwa sababu Lowasa anawanunua hawa wananchi, jamani how do I say that bila FACTS? Binafsi nimehusika sana kuisaidia Kamati ya Richmond nikiwa ninaishi nje tena kupitia hapa hapa JF ni kwa sababu I knew beter, nilikuwa ninajua kwamba Richmond hawakuwa na Ofisi Texas na iliyokuwepo ilikuwa ni ofisi ya magazeti sio Kampuni ya Umeme, so for that matter nilikuwa ninapigana nikiwa na FACTS and EVIDENCE. Now do I have evidence kwamba Lowasa amewanunua wote wanaomshabikia NO, je hao Wakuu wa CCM wanazo FACTS and EVIDENCE? Great watuwekee wazi tuzione ili watuwazima wenye akili timamua tuzichambue tuone ukweli, kwenye kesi ya Richmond tuliweka FACTS and EVIDENCE from here JF ambazo zilipelekea Lowasa mwenyewe kushindwa kupigana nazo mpaka akajiondoa Uwaziri Mkuu.
- Now my point here is CCM please tuonyesheni FACTS and EVIDENCE in the public kuhusu wale wote wanaonunua support kwenye huu urais na kama Lowassa ananunua Support pia tuwekeeni kama ilivyokuwa kwenye Richmond, ingawa CCM must get its acts together baada ya huu uchaguzi, ninajua for a FACT kwamba Rais wa sasa ametumia muda mwingi sana kushindana na maadui wake ndani ya CCM ambao hawakutaka awe Rais kutokana na tabia za CCM za kutokuwa wawazi mapema kabla ya uchaguzi wa Rais. Sasa hivi wananchi tunataka kutoana macho kisa wagombea na cha kusikitisha ni kwamba hatugombani kwa sababu ya record zao za kazi kwa Taifa hapana tunagombana kwa sababu tu ya kutofautiana kambi za Wagombea, matokeo yake kuna mpaka theories kwamba Jaji Ramadhani ndiye anayefaa maana hana makundi now ninajiuliza ni Mwanasiasa gani wa kweli Duniani ambaye hana kundi la wafuasi wake wanaomuunga mkono? Binafsi nimemsikia Jaji Ramadhani kwa mara ya kwanza alipochukua fomu tu sijawahi kusikia ameshika nafasi yoyote ya CCM kama chama ila sifa yake kubwa ambayo inaweza kuishia kumpa ushindi wa Urais CCM ni kwamba hafahamiki na hana makundi..hahahaha jamani kweli only in Tanzania.
- Wa-Tanzania tubadilike jamani Demokrasia is a good thing sio uadui na vita na unazi kama wa Yanga na Simba, hapa tunaongelea hatma ya Taifa, CCM must do something now ili mbele ya safari tuachane na mambo ya ubishi wa Yanga na Simba Wagombea wanachukua fomu za Urais ukweli unakuwa wazi based on their records za uongozi kama kuna Kiongozi wa CCM amekiuka maadili aadhibiwe au aufukuzwe Chama mapema na wananchi tujue sio kutufikisha kwenye this kind of tensions na uadui wa binafsi badala ya kupigania maendeleo ya Taifa kwanza. Tatatizo la CCM ni Process sio Wagombea, fix the process now please!!
MUNGU AIBARIKI TANZANIA
Le Mutuz Nation