William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,464
- Thread starter
- #101
Huyu mzee wake ime ripotiwa kalazwa hospitali kule kwa Malikia so sidhani kama hata anajua kinacho endelea kwenye vikao vya chama chake; tumwombee tu mzee apone haraka.
- Media kanjanja na Wananchi kanjanja kama wewe, kila Mzee anapokwenda Medical Check Up wakijua tu wanasema amelazwa infact aliyelazwa karudi leo umesikia Media ikisema ametoka Hospitali na kwamba amerudi?
Le Mutuz