Ng'wamapalala
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 6,811
- 6,506
Mkuu,Wewe ni sample ya ubongo wa Watanzania wengi ulivyo dhaifu kwa kughiribiwa na porojo za Le Mutuz.
Mtu anayekula matapishi yake ni wa kuogopa kama ukoma hiki ni kipindi ni cha maopotunist kuanza kujipendekeza.
Kila mtu atakushangaa leo hii mtu kama Nape na Makonda waanze kumsifia Lowasa halafu eti uwasapoti Fact na Evidence ni kwamba Le Mutuz ameshausoma mchezo na ni very clear Lowasa ameshaiteka Ccm na Le Mutuz ni mmoja wa mateka aliyeamuwa kujisalimisha mapema ili akumbukwe hata Udc, Membe alishashindwa mchakato huu hata kabla hajachukuwa fomu.
Ninashukuru kwa kuliona hili!
Watu wa aina ya huyu jamaa wanayumbisha sana jamii kubwa ya watanzania ambao hawafahamu malengo yao!
Kwa sasa ameanza kujongea karibu na Timu Lowassa baada ya kunusa maslahi.
Ameanza kuwa apologetic kwenye Timu Lowassa baada ya kugundua kama kuna uwezekano wa kuachwa na boti ya ulaji.
Niliwahi kumweleza kipindi cha nyuma na nilisema hivi,
Kwenye thread hii ambayo huyo huyo Malecela alileta,Unafiki unauona kwa Prof Tibaijuka pekee?.
Mbona hata wewe ni mnafiki sana.
Kama kweli unasimama na msingi wa maneno yako kwa nini ulipoamua kurudi bongo ulitafuta njia ya kuwa karibu na proxy za Rais Kikwete wakati ulikuwa mpiga madongo na kejeli mzuri. Hii ya kusema CCM damu wakati ulikuwa unaongoza kumpiga Rais Kikwete madongo pamoja na serikali yeke imeanza lini?
Nini kilikubadili kama siyo unafiki kwa sababu hakuna kilichobadilika kwenye utendaji wa Rais Kikwete mpaka umekufanya kuanza kuusifia sanaaa.
Mimi nadhani huna moral authority ya kumnyoshea kidole Prof. Tibaijuka kwa sababu ni maslahi hayo hayo ambayo ni dubious yalikufanya kuwa soft like tissue katika mtazamo wa uongozi wa Rais Kikwete na serikali yake.
Huu unafiki huu utaliangamiza taifa.