Evidence na Facts ni zao la scientific procedure yenye objectivity isiyo na mashaka hakuna blah blah unapolenga objectivity. .. . . . .hili halina patchy work....yeye ni mmoja wa walionufaika na mfumo huu usiofuata facts na evidence ili aweze kuongelea hili lazima yeye akubali haya la sivyo mtu subjective hawezi kuwa na authority ya kuongelea mambo yanayohitaji objectivity!!!!!
Kwenye siasa acha waseme watakavyo ila kwenye intellectuallity kuna ethics.........sio sehemu kila mtu anasema atakacho no way.......there has to be REFLEXIVITY
naendelea kutafakari bandiko hili
For the first time I concur with his points.
Kwa hiyo una muweka group gani?
Huongei kisomi!! Kila wakati tunajifunza kutoka kwa wajuao na wasiojua, hivyo tunabadilika hata na misimamo yetu. Ni vyema ukasoma andiko la mtu kiwakati. Hili andiko aliloliandika lina mantiki ndani yake. Kama yalopita hayakuwa na mantiki hiyo ni bora kwani JF imeweza kumbadili mtu angalau kwa sekunde chache. Ila kusema za ukweli anavyojibu watu katika sred hii ni yule aliye juu anajua.Kwa wasiomjuwa Le Mutuz nawapa pole sana, anachokifanya ni kujiandaa kisaikolojia thread zake zimo humu akimkashifu Lowasa na pia akimtukana Kikwete kwa fake ID.
Le Mutuz ataungwa mkono na wageni humu JF na wavivu wa kufikiri tu, mtu yeyote makini ni lazima atampuuza mtu huyu.
True dat jumlisha na leadership command ambayo aina control ya wanachama na viuongo vyake vya usaidizi kwenye kusimamia na kutunza heshima na maadili ya chama na wanachama.Tatatizo la CCM ni Process sio Wagombea, fix the process now please!!
MUNGU AIBARIKI TANZANIA
Le Mutuz Nation
Angalia sred zangu za nyuma nilivyobishana naye! rejea majibu yangu yalopita hivi pundeHumjui mtu huyu, yaelekea wewe ni mgeni humu.
Huongei kisomi!! Kila wakati tunajifunza kutoka kwa wajuao na wasiojua, hivyo tunabadilika hata na misimamo yetu. Ni vyema ukasoma andiko la mtu kiwakati. Hili andiko aliloliandika lina mantiki ndani yake. Kama yalopita hayakuwa na mantiki hiyo ni bora kwani JF imeweza kumbadili mtu angalau kwa sekunde chache. Ila kusema za ukweli anavyojibu watu katika sred hii ni yule aliye juu anajua.
-
- hivi karibuni nimeona Viongozi wengi wakuu wa CCM Taifa wakihaha kwenye majukwaa na hoja moja very interesting kwamba Kuna wagombea Urais ambao hawana maadili yanayokubalika na Chama hicho kukiwakilisha kwenye kugombea Urais kwa hiyo majina yao yatakatwa. Kinachonishangaza ni the fact kwamba hakuna mtu anayewahoji wala kuwauliza exactly what are they trying to tell us?
- Kwamba CCM inajua kwamba ina Viongozi wake wengi wakuu ambao hawana maadili ya kukidhi uongozi wa kitaifa wa Chama hicho lakini haijawahi kuwaadhibu wala kuwafukuza Chama hicho, now leo wanagombea nafasi ya kukiwakilisha chama hicho kwenye urais ndio CCM inaamka na kuanza kulalamika kwa Wananchi kwamba baadhi ya waliochukua fomu zao hawafai kwa sababu hawana maadili ya CCM? Na Wananchi mpaka Media imenyamaza kimya as if this theory is a perfect politics? REALLY?
- Now my point here is CCM please tuonyesheni FACTS and EVIDENCE in the public kuhusu wale wote wanaonunua support kwenye huu urais na kama Lowassa ananunua Support pia tuwekeeni kama ilivyokuwa kwenye Richmond, ingawa CCM must get its acts together baada ya huu uchaguzi,
- Wa-Tanzania tubadilike jamani Demokrasia is a good thing sio uadui na vita na unazi kama wa Yanga na Simba, hapa tunaongelea hatma ya Taifa, CCM must do something now ili mbele ya safari tuachane na mambo ya ubishi wa Yanga na Simba Wagombea wanachukua fomu za Urais ukweli unakuwa wazi based on their records za uongozi kama kuna Kiongozi wa CCM amekiuka maadili aadhibiwe au aufukuzwe Chama mapema na wananchi tujue sio kutufikisha kwenye this kind of tensions na uadui wa binafsi badala ya kupigania maendeleo ya Taifa kwanza. Tatatizo la CCM ni Process sio Wagombea, fix the process now please!!
MUNGU AIBARIKI TANZANIA
Le Mutuz Nation
[/TD]Hivi huyu lowasa ingekua china si tungemuita hayati? cc Lizaboni