Baada ya kikao cha maridhiano kushindikana jana ccm imefanya mkakati wa kuvwahonga wajumbe kutoka ukawa ikiwa ni mbinu ya kudhoofisha nguvu na umoja ndani ya ukawa, mkakakti huo umefanyika na kutekelezwa na kiongozi mwandamizi wa ccm wakishirikiana na moja ya wajumbe ambao wapo nje ya ukawa kutoka vyama vya siasa ambavyo havimo ndani ya ukawa.
Swali la kujiuliza kama haupo ulazima wa ukawa na ccm wanao uwezo wa kupitisha katiba ni kwa nini watumie fedha kuhonga na kuvuruga umoja wa ukawa? Na wajumbe hawa wanaokubali kuhongwa na ccm ili kuonesha wao hawakubaliani na ukawa je huo ndio uzalendo kwa kukanyaga maoni ya watanzania?
Swali la kujiuliza kama haupo ulazima wa ukawa na ccm wanao uwezo wa kupitisha katiba ni kwa nini watumie fedha kuhonga na kuvuruga umoja wa ukawa? Na wajumbe hawa wanaokubali kuhongwa na ccm ili kuonesha wao hawakubaliani na ukawa je huo ndio uzalendo kwa kukanyaga maoni ya watanzania?