Ngandema Bwila
JF-Expert Member
- Sep 8, 2010
- 1,017
- 256
Nimesoma lile tamko la uvccm, nimegundua kuwa uwezo kujenga hoja wa uvccm ni mdogo kupita kiasi, huwezi ukajenga hoja ya kuleta malidhaiano, amani, na upendo kwa matusi. Kwa mujibu wa tume ya uchaguzi watanzania zaidi ya miolini mbili walimchagua dr.slaa akiwatayari na tuhuma hizo, kuendeleza tuhuma zilezile leo na kuongeza matusi ni kukosa mwelekeo. Tunashukuru tamko lao lipo kimandishi hatua za kisheraia zinaweza chukuliwa zidi ya vijana wa ccm.