Huyu ndio TRA walitakiwa wambane sana kuona katika hiyo 20K huwa anachangia dola ngapiana kampuni ya transport & logistics inaingiza USD 2O,000 net profit kwa mwezi! Hawa mawaziri waongo sana. Mtu ana malori zaidi ya kumi hapati kiwango hicho eti yeye ana lori mbili anadai he earns that amount! Oh my god!
Amekutuma umsafishie JF too late nenda kamsafishie kizimbani kwi! Kwi! Kwi! Teh! Teh!!!!!!!!!!!Watanzania sijui wakoje. Wanashupalia shutuma ambazo hata hawajazifanyia uchunguzi. Kwa taarifa yenu Ni kweli, Maige kafanywa mbuzi wa kafara. Lembeli alihongwa na wafanyabiashara waliokosa vitalu ili amchafue Maige, aondolewe. Lengo ni Ugawaji wa vitalu urudiwe upya ili wazawa wanyang'wanye. Matumaini yao ni kwamba akija waziri mpya watarudia ugawaji wa vitalu. Maige ni kijana nayejituma, mwenye upeo na uelewa wa mambo. Hata kama wamepiga fitna, naamini kuna siku ukweli utajulikana.
na yule wa National Identity ... Masha
teh teh teh
Mie natamani hao walioachwa,waanze kuanika uozo wa wenzao + boss wao,ili tuendelee kupata sababu za kutosha kuwamaliza!!
kama david mataka alishtakiwa mahakamani kwa kutoongoza vyema shirika la ndege,na hawa mabwana washtakiwe kwa kuliingizia hasara taifa.:A S-baby:
sasa ngoja akapambane na lembeli vizuri kahamaa...
Maige aburuzwe mahakamani atueleze wananchi alikopata hizo mali lukuki alizopata. Asipoburuzwa wakati huu, itakuwa ni kipolo. Makamanda wakichukua nchi mnamo 2012 lazima kieleweke.
Ina maana huyu gamba hatakuwa na la kujibu mbele ya mahakama jamani.?
Hili haliwezekani kbs ktk jamii ya Watanzania.
Ila nina hofu kwa sababu ya uongozi ulioko madarakani.
Ukiona mtu amefanya kosa kisha halijutii kosa lake basi mtu wa namna hiyo ni hatari sana!!!!!
ana kampuni ya transport & logistics inaingiza USD 2O,000 net profit kwa mwezi! Hawa mawaziri waongo sana. Mtu ana malori zaidi ya kumi hapati kiwango hicho eti yeye ana lori mbili anadai he earns that amount! Oh my god!
Watanzania sijui wakoje. Wanashupalia shutuma ambazo hata hawajazifanyia uchunguzi. Kwa taarifa yenu Ni kweli, Maige kafanywa mbuzi wa kafara. Lembeli alihongwa na wafanyabiashara waliokosa vitalu ili amchafue Maige, aondolewe. Lengo ni Ugawaji wa vitalu urudiwe upya ili wazawa wanyang'wanye. Matumaini yao ni kwamba akija waziri mpya watarudia ugawaji wa vitalu. Maige ni kijana nayejituma, mwenye upeo na uelewa wa mambo. Hata kama wamepiga fitna, naamini kuna siku ukweli utajulikana.
Huyu Jamaa tuna hasira nae sana nyumba na malori lazima tuyachukue,arudishe twiga,tembo,vifaru wote aliouza!
Tehe tehe, wasukuma wametia fora kwenye utawala wa JK and Mkapa
1) Vijisenti
2) Bosi wa PCB
3) Bwana Megawati
4) Bwana Twiga.....
Ametoa kauli hiyo akiwa kaunta ya polisi au wapi? He deserve time in a cell
mkuu hao twiga na wanyama wengine hawawezi kuondoka bila ruhusa ya mwenye nchi. Hapo kia kuna security wangapi ukiachilia polisi wa kawaida. Ndege ya jeshi haiwezi ingia bila taarifa kwa amiri jeshi mkuu. Mnamuonea tu mdogo wangu.
wabongo jamani, mkimpeleka Maige mnatakiwa mtangulize JK kwanza. Muwajibikaji namba 1 ni mwenye nji kwa maana ya JK. Kama jk angekuwa serious asingemuacha Malima kwenye u NW. Kwa hiyo mtalaumu watu na wakati mnajua tatizo liko wapi jamani. Kama mwasamehe basi wasameheni wote. Wote tunakumbuka RICHMOND ilikuwaje na later LOWASA akauanika ukweli ulokuwa hauko wazi kuwa alimshauri mkuu wafukuzwe nae akagoma. Kazi kweli aisee. Nikiwaona kina Hosea machozi huwa yananitoka.
Kama ni fitina basi ni sawa kabisa, hayo ndiyo maisha sahihi ya ccm, piga fitina ili upate ulaji. Asibwabwaje akaze buti safari inakaribia mwisho, ila CDM atakuta safina imefungwa mlango na funguo zina mwenyewe.Watanzania sijui wakoje. Wanashupalia shutuma ambazo hata hawajazifanyia uchunguzi. Kwa taarifa yenu Ni kweli, Maige kafanywa mbuzi wa kafara. Lembeli alihongwa na wafanyabiashara waliokosa vitalu ili amchafue Maige, aondolewe. Lengo ni Ugawaji wa vitalu urudiwe upya ili wazawa wanyang'wanye. Matumaini yao ni kwamba akija waziri mpya watarudia ugawaji wa vitalu. Maige ni kijana nayejituma, mwenye upeo na uelewa wa mambo. Hata kama wamepiga fitna, naamini kuna siku ukweli utajulikana.