CCM, Serikali yake na vyombo vyake vya dola ni wapangaji wa na watekelezaji wa matukio ya mauaji na utekaji nchini?

nguruka wa kig0ma

JF-Expert Member
Jan 16, 2020
2,946
2,929
Mimi napata taabu sana jinsi nchi yetu inavyoendeswa, na matamko ya wanaccm na vyombo vya dola.

Najiuliza wao ndiyo wapangaji na watejekezaji wa haya matukio?
Maana kila tukio utawasikia tunatoa tahadhari, tukio hili lisichukuliwe kisiasa au mwanasiasa kujitafutia umaarufu.

Alipopotea Ben, Azory na wengine, matamko ya hao watu ni lisichukuliwe kisiasa.

Anapokufa mtu au likitokea tukio kibinaadam siyo la kawaida, lazima maneno yatakuwa mengi yanayotofautiana, kila mtu na mtazamo wake.

Serikali au chombo chochote hakipasi kutoa kauli tata na za vitisho kama amabavyo zinatolewa.
Kinachotakiwa hapo ni maneno ya faraja na kutuliza.

Polisi badala ya kufanya uchunguzi ili kuwabaini waharifu nayo ni matamko ya vitisho.
JE HUWA WANAJUA TUKIO LILIVYOPANGWA NA KUTEKEKEZWA?

Bunge nalo ni chombo cha ajabu sana awamu hii. Kimejiondolea heshima iliyijengwa na mabunge yaliyopita

Badala ya kujadiri mambo ya maana wamechukua muda mwingi kumponda mbowe , kujadiri tukio na kuhitimisha na jinsi tukio lilivyotokea.

Polisi ni ya ccm, mwisho wa uchunguzi polisi watatoa majibu tofauti na kichofikiwa na wabunge wa ccm?
BUNGE LINAJUA UPANGWAJI WA MATUKIO NA UTEKELEZAJI WAKE?

Mambo haya yanatia shaka na yan avunja imani kwa wananchi ambao siyo ccm.
Wanajiona ni wakimbizi ktk nchi yao.

Hali hii ccm na vyombo vya dola, wanapandikiza chuki miongoni mwa watanzania.
Mwisho wa siku tutakuja chinjana humu.
MBUYU ULIANZA KAMA MCHICHA.
Karibuni
 
Mimi napata taabu sana jinsi nchi yetu inavyoendeswa, na matamko ya wanaccm na vyombo vya dola.

Najiuliza wao ndiyo wapangaji na watejekezaji wa haya matukio?
Maana kila tukio utawasikia tunatoa tahadhari, tukio hili lisichukuliwe kisiasa au mwanasiasa kujitafutia umaarufu.

Alipopotea Ben, Azory na wengine, matamko ya hao watu ni lisichukuliwe kisiasa.

Anapokufa mtu au likitokea tukio kibinaadam siyo la kawaida, lazima maneno yatakuwa mengi yanayotofautiana, kila mtu na mtazamo wake.

Serikali au chombo chochote hakipasi kutoa kauli tata na za vitisho kama amabavyo zinatolewa.
Kinachotakiwa hapo ni maneno ya faraja na kutuliza.

Polisi badala ya kufanya uchunguzi ili kuwabaini waharifu nayo ni matamko ya vitisho.
JE HUWA WANAJUA TUKIO LILIVYOPANGWA NA KUTEKEKEZWA?

Bunge nalo ni chombo cha ajabu sana awamu hii. Kimejiondolea heshima iliyijengwa na mabunge yaliyopita

Badala ya kujadiri mambo ya maana wamechukua muda mwingi kumponda mbowe , kujadiri tukio na kuhitimisha na jinsi tukio lilivyotokea.

Polisi ni ya ccm, mwisho wa uchunguzi polisi watatoa majibu tofauti na kichofikiwa na wabunge wa ccm?
BUNGE LINAJUA UPANGWAJI WA MATUKIO NA UTEKELEZAJI WAKE?

Mambo haya yanatia shaka na yan avunja imani kwa wananchi ambao siyo ccm.
Wanajiona ni wakimbizi ktk nchi yao.

Hali hii ccm na vyombo vya dola, wanapandikiza chuki miongoni mwa watanzania.
Mwisho wa siku tutakuja chinjana humu.
MBUYU ULIANZA KAMA MCHICHA.
Karibuni

Thread inauliza swali.
Jibu ni: NDIYO.
 
Kila kitabu na kurasa zake, huenda awamu ijayo (6) ikarekebisha haya.
 
Kila kitabu na kurasa zake, huenda awamu ijayo (6) ikarekebisha haya.
 
Kila kitabu na kurasa zake, huenda awamu ijayo (6) ikarekebisha haya.
 
Hiyo sio proffesional statement kwa taasisi kubwa kama tanpol,hiyo ni kauli ya kimbea,kishankupe,kishambenga,ki mwananyamala kwa makoma au kitandale kwa tumbo.
 
Back
Top Bottom