Ile event imesikitisha watu wengi, sana sana
JK hajakataa kura ila ameonesha msimamo kuwa kama kura zitatumika kumhukumu basi sawa yuko radhi kuzikosa kuliko kuwaahidi kitu watakachomhukumu nacho wakimchagua kwa kuwa aliwaahidi..
Tambwe Hiza CV yako ya SIASA hii hapa...Kugumbea ubunge
1995-NCCR MAGEUZI(Looser to Kihiyo)
1996-NCCR MAGEUZI(Cowardice by allowing Mrema to run)
2000-TLP(Looser to Hadija Kusaga)
2005-CUF(Looser to Zubeir Mtemvu)
2010-CCM(Looser to Zubeir Mtemvu again...damn in primaries!!!With your very uncle Makamba looking...argh)
2015-JAIL TERM FOR ADVOCATING FOR FISADIS!!!!!!!
Hii inaonyesha ile hotuba Tambwe alishiriki kuiandika...