Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,183
CCM inavuna ilichokipanda na itaendelea kuvuna maana walichotufanyia waTZ hakisahauliki:
chuki walizopandikiza kwa madaktari (dr. uli),
chuki walizopandikiza kwa waandishi wa habari (daudi mwangosi na kibanda),
chuki walizopandikiza kwa waalimu (kumbuka matokeo ya form four),
chuki walizopandikiza kwa milipuko ya mabomu,
chuki walizopandikiza kwa waTZ kwa kukaa miaka 50 madarakani bila kufanya cha maana,
chuki walizopandikiza kwa wanyama wa mbugani kwa kushindwa kuyawajibisha maharamia wanaoiba meno ya tembo,
chuki walizopandikiza kwa vijana kwa kushindwa kuzalisha ajira na matokeo yake vijana wanaishia kujiingiza mkenge wa kula na kusafirisha unga na kushinda vijiweni.
hakika CCM haitapona.
naenda zangu Lumumba kuchukua buku 7 kwa Nape.
chuki walizopandikiza kwa madaktari (dr. uli),
chuki walizopandikiza kwa waandishi wa habari (daudi mwangosi na kibanda),
chuki walizopandikiza kwa waalimu (kumbuka matokeo ya form four),
chuki walizopandikiza kwa milipuko ya mabomu,
chuki walizopandikiza kwa waTZ kwa kukaa miaka 50 madarakani bila kufanya cha maana,
chuki walizopandikiza kwa wanyama wa mbugani kwa kushindwa kuyawajibisha maharamia wanaoiba meno ya tembo,
chuki walizopandikiza kwa vijana kwa kushindwa kuzalisha ajira na matokeo yake vijana wanaishia kujiingiza mkenge wa kula na kusafirisha unga na kushinda vijiweni.
hakika CCM haitapona.
naenda zangu Lumumba kuchukua buku 7 kwa Nape.