ccm inavuna ilichokipanda na itaendelea kuvuna maana walichotufanyia waTZ hakisahauliki:
chuki walizopandikiza kwa madaktari (dr. uli),
chuki walizopandikiza kwa waandishi wa habari (daudi mwangosi na kibanda),
chuki walizopandikiza kwa waalimu (kumbuka matokeo ya form four),
chuki walizopandikiza kwa milipuko ya mabomu,
chuki walizopandikiza kwa waTZ kwa kukaa miaka 50 madarakani bila kufanya cha maana,
chuki walizopandikiza kwa wanyama wa mbugani kwa kushindwa kuyawajibisha maharamia wanaoiba meno ya tembo,
chuki walizopandikiza kwa vijana kwa kushindwa kuzalisha ajira na matokeo yake vijana wanaishia kujiingiza mkenge wa kula na kusafirisha unga na kushinda vijiweni.
hakika CCM haitapona.
naenda zangu Lumumba kuchukua buku 7 kwa Nape.
umesahau na:-
chuki kwa vijana kwa kukataa ku update daftari la wapiga kura ili wao wasipige kura.
chuki kwa wapiga kura kwa kuwabadilishia ushindi ya viongozi waliowapigia kura.
chuki kwa wafanyakazi kwa mfumo mbovu wa mapato ya serikali hivyo kuwapa zigo la kutoa kodi za ajabu.